- Thread starter
- #21
Nimeona Kila nikiweka line nyingine mpya ,bado anapata mwanya wa kuendelea kupata kile anacho kihitaji, vp nikitumia simu isiyo ya smartphoneFanya ukaguzi mzima wa simu yako...hakikisha unatumia email yako na si vinginevyo.....halafu ingia setting kisha angalia kama device administrator imesetiwa find my device ukikuta nyingine option ondoa tiki...kisha kagua accessibility kama kuna service ambayo ipo stored halafu imepigwa tiki iondoe haraka...ukisha fanya haya ma 2 ie device admn and accsesibilty nenda kwenye option y apps kisha kagua apps ambazo huzielewi nyingi huwa na jina l security make sure una zi unstall...hapo utakuwa umeisafisha simu yako ila kama huyo anaye kufatilia anatumia njia ya telbox app nivigumu kumzuia lbda ubadili number na asiifahamu
Vp nikienda kampuni ya simu siwezi pata msaada? Inavyoonekana kila nikiweka line mpya anapata taarifa na kupata anachotaka, vp nikitumia simu ya tochi inaweza kuwa suluhisho?Fanya ukaguzi mzima wa simu yako...hakikisha unatumia email yako na si vinginevyo.....halafu ingia setting kisha angalia kama device administrator imesetiwa find my device ukikuta nyingine option ondoa tiki...kisha kagua accessibility kama kuna service ambayo ipo stored halafu imepigwa tiki iondoe haraka...ukisha fanya haya ma 2 ie device admn and accsesibilty nenda kwenye option y apps kisha kagua apps ambazo huzielewi nyingi huwa na jina l security make sure una zi unstall...hapo utakuwa umeisafisha simu yako ila kama huyo anaye kufatilia anatumia njia ya telbox app nivigumu kumzuia lbda ubadili number na asiifahamu