Anicet mchomvu
Member
- Apr 18, 2012
- 95
- 213
CHANZO:TAMISEMI
Hivi post ya ma technologist ndo watu gani hao katika kaday afya?![]()
![]()
CHANZO:TAMISEMI
Mkuu, ni wale wataalamu wa maabara wenye digrii/ bachelor ya laboratory technologyHivi post ya ma technologist ndo watu gani hao katika kaday afya?
SawaMkuu, ni wale wataalamu wa maabara wenye digrii/ bachelor ya laboratory technology
Acha kudanganya wewe, lab technologist ni wenye diploma siyo degree/bachelor. Na lab assistant ni wenye ngazi ya chetiMkuu, ni wale wataalamu wa maabara wenye digrii/ bachelor ya laboratory technology
Wa mahabara mkuuHivi post ya ma technologist ndo watu gani hao katika kaday afya?
Ww pimbi unayejifanya perfect umeandika nn hapaWa mahabara mkuu
Wa mahabara mkuu
duh hahahahaWa mahabara mkuu
Wa mahabara mkuu
Na wenye degree ni wapi mkuu ??Acha kudanganya wewe, lab technologist ni wenye diploma siyo degree/bachelor. Na lab assistant ni wenye ngazi ya cheti
![]()
![]()
CHANZO:TAMISEMI
Wenye digrii/bachela wanaitwaje?Acha kudanganya wewe, lab technologist ni wenye diploma siyo degree/bachelor. Na lab assistant ni wenye ngazi ya cheti