@ jeshini ni moyo wa ujasiri 2 na nidhamu,hamuna biziness nyngne huko zaidi ya kujila. Af mazingira ya jeshi si lelemama wenye wanasema fungua moyo ie utaifa mbele hakuna kuask!!..
jadilini vitu vya msingi..!! Kuna mambo mengine unaeza sumbua kchwa tu bila kupata jibu.. Na vitu vingine ni rahis sana kuelewa kama n mtu n mwepesi wa kufikir.. Sasa nyie muonavyo rais n mtu mwenye kufahamu mambo nyet mangap kuhusu nchi hii.., basi acha awe protected na mtandao mkubwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.