Mambo ya matibabu kama haya yaweke waz na gharama zake kwan sio siri na wateja wako wanaongeza uaminifu harafu ndo unaweka na mawasiliano yako.Sasa ukiacha vingne bila kuvike waz na watu wanajua haiwwz kuwa bure na ni mambo ya kiafya kama hayo!!
Ukizaa mtoto wa kike usimuite Flora ni uchafu kabisa,hili jimama limenifanya nikasilike sana hafai kuwa mke tena kwan namuona kama Malaya wengne wa mtaan.
Niseme tu ukwel hakuna taifa ninalolipenda kama Wingereza tukiacha taifa mama Tanzania,nikisikia taifa lolote linamkorofisha mwngereza nakasirika sana,tena mwingereza Sera zake zinaupendo sana huwa hapend ukandamizaji kama hawa wengne,mfano kwenye ubaguz wa rangi kapambana mpaka mataifa yote...
Mm nawaza Manchester utd nitaiachaje kuiona wakat vita vikianza? Bora vita isije maana napata raha sana kushabikia mpira,kama wanataka Tim za taifa zishindane atake shinda ndo bingwa wa vita wengne itabid wamuheshim sana.lakin kwa nukria hapana weee sitaki kuiacha man utd yngu.
Mm nawaza tu nitaachaje kuangalia Manchester utd yangu,kisa wajinga hawa tena waache kabisa kama wanataka timu za taifa zishindane atayeshinda ndo bingwa wa vita vya dunia,nukria zao wapeleke huko.
Yaan wapinzan wetu hawa ni hatari sana,sehem kubwa nimeona hata wafwasi wao wanatumia matusi katika mabishano,sasa toka mbowe hadi wafwasi wote matusi najiuliza je wataweza kushika dola kweli,?Amboyo inajalibiwa na kila mtu,kila taifa na matatzo kila kona,hawa hawawez kwakwel labda kusaidia tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.