ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
na Yesu nae anawasubiri tu!!2070 Unaambiwa 3076
na Yesu nae anawasubiri tu!!2070 Unaambiwa 3076
Tanzania tuna madini ya Uranium kwa wingi na wataalam wa nuclear physics Kama Dr. Gharib Bilal kwa nini tusianze kujenga makobora ya nuclear incase ikilipuka nuclear war na sisi tuweze kushambulia endapo tutachokozwa?
Nadhani humjui mrusi, huyo muingereza atapotezwa kweli
Mikataba ya kimataifa eti haituruhusu! Funny, isn't it.Tanzania tuna madini ya Uranium kwa wingi na wataalam wa nuclear physics Kama Dr. Gharib Bilal kwa nini tusianze kujenga makobora ya nuclear incase ikilipuka nuclear war na sisi tuweze kushambulia endapo tutachokozwa?
Mkuu naona its the other way round!.sio simple hvyo kijana,uingereza ni nchi kubwa na ina experience kubwa kwe medan za vita,ukiishambulia kwa nuclear tegemea tu counterstrike
Mkuu hata mimibsiyajui, nimeyakuta tu mtandaoni!Hayo mapipa kwenye hayo magari kazi yake nini??
Unajidanganya, na inaelekea wala huujjakanyaga huko UK.Niseme tu ukwel hakuna taifa ninalolipenda kama Wingereza tukiacha taifa mama Tanzania,nikisikia taifa lolote linamkorofisha mwngereza nakasirika sana,tena mwingereza Sera zake zinaupendo sana huwa hapend ukandamizaji kama hawa wengne,mfano kwenye ubaguz wa rangi kapambana mpaka mataifa yote yanafurahia.
Marekani kamwangalia irusi kaona hamwezi ikabidi atafute saizi yake ndio akamuona n.korea!Urusi kajiangaliaaaa kwa Marekani akaona haiwezi ikabidi atafute wa saizi yake ndio kamuona Uk
Lazima ukanyage?yalikuwa mawazo yangu tu kjana.Unajidanganya, na inaelekea wala huujjakanyaga huko UK.
Hakuna taifa wabaguzi kama hao.
Ukitoa mawazo yasiyo sahihi, ujue yatapingwa.Lazima ukanyage?yalikuwa mawazo yangu tu kjana.
Tanzania tuna madini ya Uranium kwa wingi na wataalam wa nuclear physics Kama Dr. Gharib Bilal kwa nini tusianze kujenga makobora ya nuclear incase ikilipuka nuclear war na sisi tuweze kushambulia endapo tutachokozwa?
nop uk walikua wanaongelea sehem nyngne kabisa wala c russiaMkuu naona its the other way round!
Uingereza inataka kujihajikikishia the 1st strike authority, na ndo mrusi akamjibu kuwa atakiangamiza kisiwa, kama ikipigwa.
NK korea, afu nakula mpunga mrefu.BETTING TIPS ZA LEO
U.S.A VS N.KOREA
Odd. 2.8. × 9.5
% 50. 10 40
Ungempa yupi hapo