Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,814
- 40,572
Waaache ujinga hao mashemeji kwani kuna kipi kigeni.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Watanzania bwana.... Kwa hiyo wanaamini hadi sasa upo chooni.?
Aisee !!hahahaaaaaa mkuu bomoa ukuta utokee kwa nyuma uchape rapa..
au jifanye umezimia chooni ili kuua soo lote
Mimi kama wewe tuuuKhaaa we nae kila kona [emoji23]
Hahahahahaha...! unafungulia hata bombaMkuu siku ingine uwe unapigapiga maji kwenye ndoo kudairut sauti ya kijambo maana ile praaatatataa hua inatoka kimbea mi hua nachezesha maji
Jf ni kiboko. It's a stress free zoneHahahahaaaaaaa yan nimecheka hadi mbavu zinaniuma
Ukitoka waambie kuwa simu ilikuwa inaita, na hiyo ndo ringtone yake, ila kwa sasa umeiondoa. Waombe samahani huku ukijichekesha.Leo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka
Siku nyngne rekodi hyo sauti ya kijambo arafu unaisev kama muito wa simu ukitoka nje una iplay harafu unazuga kama kuna simu imeingia unajifanya kama unapokea ile fake call,ila inabidi usev hyo iwe ringtone yako muda wote mpak unaondoka ukweni.Leo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka
Ahahahhaa nmechekaaa mpaka nahic kufaaa ahahahahahaha Kwel Jf raha sana u made ma day broLeo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...Daaah ndo maana naipenda sana JF...Nmecheka sana asee.Unakunyaje ukweni.. Huko ni kukosa adabu