Naamini kabisa, JPM hayo aliyaona muda mrefu... mnazungumzia kupinga... ebu niambie, je kuna kiongozi yoyote wa CCM aliyeipinga serikali ya CCM na bado akaendelea kusavaivu akiwa humo humo ndani ya CCM? Utii wake kwa CCM ndiyo uliomfikisha hapo alipo
Mi nimekuelewa vzr sana mtoa mada, kwanini ulipie kodi mara mbili kwa wakati mmoja? kama wameamua kuileta kwenye mafuta hiyo kodi sasa kuna na haja gani tena ya kuiweka kwenye usajili? basi waipe jina lingine ili tujue hiyo si kodi ya road licence.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.