Ushauri Kati ya Toyota Raum na Toyota Ipsum nichukue ipi?

Kapicha tafathali nami nahitaji raum new model
downloadfile-1.jpeg
images.jpeg
images-2.jpeg
images-1.jpeg
 
Wanajamvi ninakapesa kangu ka madafu M 11 nahitaji ushauri kati ya gari hizo mbili ipi nzuri kwani itakuwa na safari mara mbili kwa mwaka kwenda mwanza je ipi kati ya hizo itanifaa?Ulaji wa mafuta, na uimara ipi nzuri?
Ushauri wangu omba upunguziwe bei ili uchukue zote mbili
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Hapo chukua wish cc1780 au raum achana na ipsum itakupasua kichwa mafuta.
Kwa ipsum Utajajikuta umelipia road licence laki 5 kwa badala ya raum elfu 80 kwa mwaka
 
Wanajamvi ninakapesa kangu ka madafu M 11 nahitaji ushauri kati ya gari hizo mbili ipi nzuri kwani itakuwa na safari mara mbili kwa mwaka kwenda mwanza je ipi kati ya hizo itanifaa?Ulaji wa mafuta, na uimara ipi nzuri?
Chukua 5*4
 
Hapo chukua wish cc1780 au raum achana na ipsum itakupasua kichwa mafuta.
Kwa ipsum Utajajikuta umelipia road licence laki 5 kwa badala ya raum elfu 80 kwa mwaka
hahaha kama hujui acha kupotosha watu... kabla road license haijafutwa raum inakula 170000 annually maana ina cc chini ya 1500. sasa hiyo elfu 80 veeeepe
 
Wanajamvi ninakapesa kangu ka madafu M 11 nahitaji ushauri kati ya gari hizo mbili ipi nzuri kwani itakuwa na safari mara mbili kwa mwaka kwenda mwanza je ipi kati ya hizo itanifaa?Ulaji wa mafuta, na uimara ipi nzuri?


Wewe ni jinsia gani? maana yote hayo ni ya kike!
 
[QUOT"Amrish Puri, post: 21588862, member: 403252"]hahaha kama hujui acha kupotosha watu... kabla road license haijafutwa raum inakula 170000 annually maana ina cc chini ya 1500. sasa hiyo elfu 80 veeeepe[/QUOTE]

Mwanaume mzima unavaa suruali unaandika: VEEPEEE? tuna kazi kweli!
 
Nina mashaka kama unaweza kupata IPSUM kwa bei hiyo. Chukua RAUM hutapata stress, ni gari ndogo yenye space ya kutosha kwa abiria na mizigo, inakula mafuta kidogo (cc 1450-1500) 13km/Lita. Kwa safari ndefu huna wasiwasi inaenda bila tatizo lolote
14/L safari ndefu inatembea bila shida.
 
Back
Top Bottom