Chukua hizi 1337x au watchsomuch ukitaka wakorea na series zao kuna kissasian na dramacool, zipo kibao ila hizo kwa uchache unapata movies na series karibia zote
Habari Kiongozi
Nahitaji Msaada wa kinyota hapa
Jina langu linaanzia na R na nimezaliwa 20/06, Kuna wanawake wawili katika maisha yangu na wote majina yao yanaanzia na R, mmoja kazaliwa 01/01 na mwingine kazaliwa 11/10
Kama una eneo la kutosha na mazingira ni rafiki kwa biashara ya library nakushauri fungua tu hiyo library ila ongezea na Kompyuta yako moja kwa ajili ya nyimbo na kuwakopia hizo muvi kwenye flash, Kwa Bajeti ya laki 5 unapata desktop nzuri tu yenye hard disk kubwa za kuhifadhia nyimbo, video...
Kiongozi hivi mtaji mdogo kabisa kwa mtu anayetaka kuanza hiyo biashara ni Shiling ngapi? maana nina kafremu kangu ka tigo pesa nawaza niongeze biashara hiyo
Ndugu hakuna mtoto wa kike wala wa kiume aliyekamilika acha kuudanganya moyo wako, Uzuri wa mtu uko kwa anayetizama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza naomba nikupongeze kwa somo zuri unalolitoa kuhusu Kodi na taratibu zake
Kiongozi mimi nina swali japo ntaanza kwa maelezo kidogo
Mwezi wa tisa mwaka 2015 nilifanya mchakato wa kuomba TIN kwa ajili ya biashara yangu ya Library na kuitumia TIN hiyo kupata Leseni ya biashara na kupata...
Elimu ya chuo halafu bado hujui kuchanganua na kudadavua mambo madogo kama hayo, Jiongeze hapo huna nafasi katika maisha yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole yake
Bahati nzuri kwangu ni kwamba nimechukua frem pembeni ya Ofisi yangu
Kulikuwa na saluni ila jamaa imewashinda baada ya kushindwa kukarabati na kuiweka katika ubora wa kisasa, eneo langu biashara ipo
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Nasubiri madini kutoka kwa wenye uzoefu na hii biashara maana mie binafsi niko njiani kufungua hii biashara na tayari nimeshalipia fremu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.