Kwa dalilili hizi je, anaashiria nini?

Kwa dalilili hizi je, anaashiria nini?

Wakuu habari za ijumaa?
Naombeni msaada wenu Wa kimawazo please mapenzi yananipa wakati mgumu sana

Mpenzi wangu tumekua kwenye mahusiano takribani mwaka Wa tatu sasa!
Tulipatana mwaka tukiwa chuo

Alinihaidi atanioa kwakweli alinihaidi mambo mengi sana

Yeye alinitangulia kuhitimu chuo na Mimi nimehitimu mwaka mmoja baada ya yeye kuhitimu

Lakini sasahivi amekua hana muda na Mimi kabisa simu hanipigii anadai huko busy na kazi na wakati mwingine nikimpigia simu anaweka black list namba yangu
Nikimuuliza anadai huko busy
Kuna wakati nilimuomba anisaidie pesa kidogo kuna jambo nimekwama akakataa eti hana hela wakati anafanya kazi,

Alizima simu yake tangu mwezi Wa 11 mwaka Jana nikawa namtafuta simpati lakini nikipigia simu ndugu zake wanasema yupo na anaendelea na kazi

Juzi alinipigia simu na kuanza kunidanganya eti alikua nje ya nchi ndo maana alikua hapatikani

Naombeni ushauri huyu ananipenda kweli au ananichezea tu

Naumia sana kumpenda MTU asiyenithamini
Wachache sana wanaoanza chuo wasiokuwa na wapenz walipokuwa secondary either o level au A level,wakifika chuon hutafuta wa kutuliza ny****ge ili maisha yaende yawezekan wapenz waliokuwa nao kabla ya chuo wakasitisha au wakaendeleza kwa lengo la kuoana,wanasemaga College for knowledge..............,ukimaliza chuo na mahusiano huyamaliza,kuhusu kama anakupenda au anakuchezea wew ndo judge(akili kichwan mwako),jaribu kumpotezea uone kama atakutafuta kama unavyohangaika wew(NAKUSHAURI USISHAURIKE NA USHAURI WANGU)
 
Wakuu habari za ijumaa?
Naombeni msaada wenu Wa kimawazo please mapenzi yananipa wakati mgumu sana

Mpenzi wangu tumekua kwenye mahusiano takribani mwaka Wa tatu sasa!
Tulipatana mwaka tukiwa chuo

Alinihaidi atanioa kwakweli alinihaidi mambo mengi sana

Yeye alinitangulia kuhitimu chuo na Mimi nimehitimu mwaka mmoja baada ya yeye kuhitimu

Lakini sasahivi amekua hana muda na Mimi kabisa simu hanipigii anadai huko busy na kazi na wakati mwingine nikimpigia simu anaweka black list namba yangu
Nikimuuliza anadai huko busy
Kuna wakati nilimuomba anisaidie pesa kidogo kuna jambo nimekwama akakataa eti hana hela wakati anafanya kazi,

Alizima simu yake tangu mwezi Wa 11 mwaka Jana nikawa namtafuta simpati lakini nikipigia simu ndugu zake wanasema yupo na anaendelea na kazi

Juzi alinipigia simu na kuanza kunidanganya eti alikua nje ya nchi ndo maana alikua hapatikani

Naombeni ushauri huyu ananipenda kweli au ananichezea tu

Naumia sana kumpenda MTU asiyenithamini
Njoo PM, nina machache ya kuzungumza naww. Tafadhari fanya hivyo bi dada..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me binafsi kama mwanamke simpendi hua nafanya hayo
Cjuh ye anamaanisha nn binadamu tunatofautiana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tafuta wa kufanana na wewe hakuna mapenzi hapo

Chagua kusuka au kunyoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom