Nahitaji vifaa Used vya Saloon ya Kiume

Nahitaji vifaa Used vya Saloon ya Kiume

kilanio

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
221
Reaction score
69
Nahitaji Viti vya kunyolea,sterilizer.


alie navyo anipigie:0627288599 situmii sana JF

note; Viwe DAR na mali halali ya mmliki HUSIKA,aHSANTEN
 
Nikajua unahitaji vyote
Maana nina vioo,mashine,viti vya kunyolea,benchi la kukalia wateja nk
But weka ofa yako kwanza
 
Nikajua unahitaji vyote
Maana nina vioo,mashine,viti vya kunyolea,benchi la kukalia wateja nk
But weka ofa yako kwanza
Weka picha kama bado vipo

Pia vinauzwa bei gani

"mwanaume mashine"
 
Kama kuna mtu anahitaji vifaa ninavyo set nzima saluni ya kiume
 
Weka maelezo kidogo upige hela unavyo vifaa gani vipo wapi, vinahali gani na wauzaje!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sawa ndg, vifaa ni viti vinne vya kunyolea (executive chairs), sterilizer, towel warmers, machine origional wahl 8, bench 2, kiti cha kuoshea 1, aluminium frame, steamer, samsung AC original na vingine nimesahau, nilitumia mwaka 1 tu nikafunga nikaviweka ndan bado vipo safi maana nilinunua nje mwenyewe direct,
 
Sawa ndg, vifaa ni viti vinne vya kunyolea (executive chairs), sterilizer, towel warmers, machine origional wahl 8, bench 2, kiti cha kuoshea 1, aluminium frame, steamer, samsung AC original na vingine nimesahau, nilitumia mwaka 1 tu nikafunga nikaviweka ndan bado vipo safi maana nilinunua nje mwenyewe direct,
Bei gani vyote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa ndg, vifaa ni viti vinne vya kunyolea (executive chairs), sterilizer, towel warmers, machine origional wahl 8, bench 2, kiti cha kuoshea 1, aluminium frame, steamer, samsung AC original na vingine nimesahau, nilitumia mwaka 1 tu nikafunga nikaviweka ndan bado vipo safi maana nilinunua nje mwenyewe direct,
Ac unauzaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom