Ahsante sana kwa kunifariji.Dogo chuo aliudhuria vizuri na nimeona kwenye system yao matokeo yake yako vizuri ila cheti tatizo kila siku wananipiga calender
Habarini jf.
Nina mdogo wangu amemaliza certificate royal college mwaka jana ila mpaka sasa hajapata cheti. Nimejaribu kufatilia chuoni mara kadhaa wana sema vyeti bado havija sainiwa nimeuliza vitatoka lini kila siku wananipiga calender.
Siku za hivi karibuni nimefatilia kuna dogo alikuwa...
Apendelee kula nanasi na nyanya chungu ni zuri kwa mwanamke kwa ajili ya kuzalisha ute.Pia awe anakunywa maji kwa sana.Na kingine muhimu apate banabanduka ni kiboko kwa wanandoa ,hii banabanduka ni zoezi mwanamke anatakiwa kufanya uke unarudi na kuwa mdogo na pia anapata ute ute kwa wingi
Comfortable (huyu alikuwa mwalimu wa physics kiomoni sec alikuwa anapenda kutamka comfortable kila anapofundisha)
assumed mean (huyu mwl ya math alitufundisha statistics basi kila akifundisha lazima akumbushie assumed mean)
Habarini wa kuu,
Mimi nipo Dar es salaam nataka kwenda ofisi ya mkuu wa mkoa Tabora.Sasa naomba msaada wenu wakuu kwa wanaojua
1. Kutoka Dar es salaam hadi Tabora inachukua muda gani kwa usafiri wa basi?
2. Ofisi ya mkuu wa mkoa Tabora ipo umbali gani kutoka stend kuu ya mabasi Tabora?
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.