Mkuu ukipanda kisbo safari unaonfoka dar saa 12 asubuhi unafika saa moja jion au mbili mkichelewa sana, lodge nzuri za bei ya elf 15 zilizo karibu na stand ni Zimbabwe, goodnight au byb lodge, maeneo ya kanyenye ni kwihala lodge, white sarkozy, ck etc kutoka stand kwenda ofisi ya mkoa wa mkoa ni mwendo wa dakika ka nne mpaka tano kwa bodaboda, kama wewe ni mwanaume ukitaka totoz fika chuo cha Uhadhiri, zero , shimoni au tembelea kiwanja kipya cha oxygen longe and bar!
Nimenyanyua mikono juu, ila inaonekana umetoka huko muda mrefu.
White Sarkozy inajaa maji balaa, siku hizi kuna vitu vipya - goodely, frankman, etc pia st Augustine university,