Rahma Nyusi
Member
- Jun 3, 2015
- 73
- 9
Habarini jf.
Nina mdogo wangu amemaliza certificate royal college mwaka jana ila mpaka sasa hajapata cheti. Nimejaribu kufatilia chuoni mara kadhaa wana sema vyeti bado havija sainiwa nimeuliza vitatoka lini kila siku wananipiga calender.
Siku za hivi karibuni nimefatilia kuna dogo alikuwa anasoma pale diploma amesema wamehamishiwa st Joseph kwa course ya social work na wale wa jornalism wamehamishiwa DSJ.
Sasa naomba kuuliza wana member je, kwa mdogo wangu ambaye amemaliza hapo mwaka jana na cheti hawakutoa kwa madai ya vyeti kutokusainiwa anawezaje kupata cheti?Maana chuoni nimekwenda mara kadhaa hawanipi majibu ya kuridhisha zaidi ya kunipiga calender.
Nina mdogo wangu amemaliza certificate royal college mwaka jana ila mpaka sasa hajapata cheti. Nimejaribu kufatilia chuoni mara kadhaa wana sema vyeti bado havija sainiwa nimeuliza vitatoka lini kila siku wananipiga calender.
Siku za hivi karibuni nimefatilia kuna dogo alikuwa anasoma pale diploma amesema wamehamishiwa st Joseph kwa course ya social work na wale wa jornalism wamehamishiwa DSJ.
Sasa naomba kuuliza wana member je, kwa mdogo wangu ambaye amemaliza hapo mwaka jana na cheti hawakutoa kwa madai ya vyeti kutokusainiwa anawezaje kupata cheti?Maana chuoni nimekwenda mara kadhaa hawanipi majibu ya kuridhisha zaidi ya kunipiga calender.