Recent content by Racso G

  1. Racso G

    Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

    Unaonekana ata hufatilii, kwenye page ya youtube ya yapi markenzi wanaweka report za kila mwezi za progress ya miradi hio, wanatumia drone kuonesha njia nzima ya dar to moro. So mwenyewe unaweza kukadiria kama bado mpaka miaka mitano au tusibiri mwezi wa nne mwaka huu waanze testing ya train
  2. Racso G

    Mapinduzi makubwa duniani yameletwa na matumizi ya zana za madini ya chuma, ni heri uache vyote ili uchimbe chuma kama unayo

    Inshu ya liganga na mchuchuma, Tanzania ilisaini deal la investment ya $3 Billion na kampuni ya china, deal inayohusisha uchimbaji wa coal na uzalishaji wa umeme 600MW ambayo 250MW inabaki kuendesha mgodi wa iron liganga na 350MW kwenda grid ya taifa. Kwenye investment hio ilikua inaenda...
  3. Racso G

    GE2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

    Mfanyakazi wa kike wa GGM ashikiliwa na Polisi kwa kumvisha Pete Mwanamke mwenzake Kama ingekua serikali ya Tanzania haipingi masuala hayo, hao wahusika wasingekamatwa na polisi kwa kosa hilo.
  4. Racso G

    The Economist watoa utabiri wa michoro matukio yatakayotokea mwaka 2019

    Huenda huo Mlima kilimanjaro ukawa chanzo cha mgogoro baina ya nchi mbili ulio pakana nazo. Pia na hapo juu kwenye picha ya mchoro wa kichwa cha mtu pameandikwa facial recognition.. Hii ina maana facial recognition itakumbana na mabadiliko makubwa ya kiteknolojia na ndo itakua njia ya...
  5. Racso G

    selection udsm

    Vipi na kwenye application acc zao walikuta huo ujumbe?
  6. Racso G

    Najihisi mjinga kukosa chuo

    Unanikumbusha mwaka jana one yangu ya tisa PCB nikabaki mtaani... Dahh!!!
  7. Racso G

    UDOM second round

    Sua tayari?
  8. Racso G

    Bsc in Geology Vs Bsc with Geology

    Habari zenu wadau, kama kichwa cha habari kilivyo nahitaji kujua utofauti kati ya hizo course mbili.
  9. Racso G

    Msaada wa Mawazo wanabodi nimedsco chuo.

    Department GPA ndo inakuaje?
  10. Racso G

    Natafuta mashirika yatakayoweza kunipa scholarship ya kwenda kusoma nje

    Omba course nyingine, me mwaka jana nilikosa chuo nimekaa home mwaka mzima. Nilipata one ya tisa PCB nikang'ng'ana kuomba Md nikatemwa bila chenga, mwaka huu nimeomba tena, awamu ya kwanza nimekosa live yanii nilihasirika kisaikolojia for little while, awamu ya pili nimeomba tena vyuo vingi na...
  11. Racso G

    Tatizo la form yangu ya mkopo !

    Hayo majina mengine ya wenye matatizo mbalimbali kama yatima au kukosa mzazi mmoja. Walioambatanisha death certificates.. Me nimeambatanisha death certificate lakini jina langu halipo kwenye list ya kwanza wala ya hio pili..
  12. Racso G

    UDSM wanatoa lini majina?

    Hoy, uliconfirm udsm
Back
Top Bottom