Tatizo la form yangu ya mkopo !

Tatizo la form yangu ya mkopo !

Wanataka aina gani ya kitambulisho ? Ni upload cha NIDA ? na je ni scan photo copy au ?
Kitambulisho kinachotambulika na serikali (Mpiga kura, National ID, leseni) Una scan photocopy yenye pande zote mbili ambayo imesainiwa na kugongwa muhuri mahakani
 
c
Wanataka aina gani ya kitambulisho ? Ni upload cha NIDA ? na je ni scan photo copy au ?
heti chako ila kiwe cha NIDA, MPIGA KURA, LESENI, PASSPORT unatoa copy unapelema mahakamani wanagonga muhuri alafu unascan.. ukiingia kweny acc yako utaona
 
Hayo majina inabid uyapitie yote au wametuma na ujumbe kwenye Acc uloitumia kuapply?
 
Birth certificate si inapitia Rita tu au kuna haja na chenyewe kupitia mahakamani
 
Hayo majina inabid uyapitie yote au wametuma na ujumbe kwenye Acc uloitumia kuapply?
Ukiingia kwenye akaunti utakuta hivi
1. Preview
2. Download application
3. Missing Attachment
Hivyo ukiingia ukakuta 3 imeongeza inatakiwa uclick hapo ili ujue ni kipi umekosea. Ukiona hakuna 3 ujue hauna tatizo
 
Ukiingia kwenye akaunti utakuta hivi
1. Preview
2. Download application
3. Missing Attachment
Hivyo ukiingia ukakuta 3 imeongeza inatakiwa uclick hapo ili ujue ni kipi umekosea. Ukiona hakuna 3 ujue hauna tatizo
OK nimekusoma mkuu. basi kam ni hivo hamna tatizo hapa kwa hii Acc.
 
dahh mbn me kuna vitu sikuambatanisha ila jina langu halipo na account yangu hainiruhusu ku update chochote.
 
Hayo majina mengine ya wenye matatizo mbalimbali kama yatima au kukosa mzazi mmoja. Walioambatanisha death certificates..
Me nimeambatanisha death certificate lakini jina langu halipo kwenye list ya kwanza wala ya hio pili..
 

Attachments

  • Screenshot_2018-09-24-12-41-29.png
    Screenshot_2018-09-24-12-41-29.png
    19.1 KB · Views: 36
Back
Top Bottom