Conas kuna course gani ngumu pale acha blah blah....Acha urongo wewe unadhani Sua ndo chuo kigumu sana!? Unaijua departmental gpa ya Conas wewe? Watu wanadisco na migpa mikubwa tu pale kisa departmental gpa
Ana andaestimeti yudizimuuna uhakika kuwa kwenye vyuo vyote ulivyotaja wao hawatumii mfumo wa GPA??acha kupotosha watu

Acha ujinga unamshauri mtu aende TEKU.?Umedisco UDSM?? UDSM hii hii niijuayo..??
Acha uzembe dogo...
Nenda CBE, TIA, TEKU. UDSM ni chuo rahisi sana ni uzembe kudisco kwa system ya GPA...
Unaenda kupiga course ipi ndugu?Duh kiukwel mimi sina cha kukushauri kati ya ivo ulivotaja hapo coz na mm mungu akipemda ndo tutakuja uko mwez wa 10 bali nimependa tu kukomenti just like kukutakia pole mkuu tena pole sana kaka subir wadau waje naamini watakushauri vzuri sana hawa majamaa
unarejesha 25% ya deni, then unaomba upya, wanakuconsider kama muombaji mpyaUki_ disco ukaomba tena chuo hua wanatoa mkopo?
Mimi ni mwanafunzi hapo UDSM mwaka wa kwanza kwa bahati mbaya matokeo yangu hayakua mazuri kwa sababu mbalimbali kwaiyo nimedsco. Nilikua naomba msaada wa mawazo wanabodi...
1. Je!!, nikubaliane na matokeo nifanye ishu nyingine za maisha na je nianzie wapi..
2.Au nifanye mchakato wa kuappeal, na uo utaratibu wa kuaappel unakuaje.
NATANGULIZA SHUKURANI
HahahaahhaTatizo lako muda mwingi upo motoni kulinda.utasoma saa ngapi?ewe
Askari wa motoni?
Nani kakuambia SUA ni kugumu?Acha urongo wewe unadhani Sua ndo chuo kigumu sana!?
Conas ni kitu gani? katika hii mada au kwenye post yangu kuna sehemu tumeongelea hiyo conas yako? kama hamna inaingiaje hapa?Unaijua departmental gpa ya Conas wewe? Watu wanadisco na migpa mikubwa tu pale kisa departmental gpa
Acha sifa za kitoto wewe unataka kusema conas amna course ngum au ndio Ploud za jfConas kuna course gani ngumu pale acha blah blah....
Kama mtu anashindwa kufaulu kwa multiple choice.. matching item tena kwa average ya 40 kama passmark...
Je 50 atafikisha kweli, embu tujaribu kuwa serious kidogo....
GuuudPole sana ndugu, kudisco chuo sio mwisho wa ndoto zako, usikate tamaa achana na kuappeal fanya uapply upya au subir mwakani uaply upya, trust me ww sio wa kwanza kudisco chuo, muda mwingne huwa ni mipango ya mungu ili kukuonyesha njia nyingne ya kutokea,
Mimi nilidisco chuo pale DUCE kwa course ambayo nilikuwa sipo confortable nayo, nilipitia kipindi kigumu sana maana nilirudi mtaani, alafu mtaani pagumu, nilikaa home mwaka mzma nikatafuta pesa, nikarejesha 25% ya loan board na nikaaply chuo upya, Nashukur mungu kwa sasa npo MUHAS, nilipata tena mkopo, nasoma course ambayo npo confortable nayo, sijawahi pata supp.
Hivyo usikate tamaa ukajiona ww mjinga, cha msingi angalia ulikosea wapi na jipange upya, Utatoboa tu.