Najihisi mjinga kukosa chuo

Najihisi mjinga kukosa chuo

Naomba ni kusahihishe apo mkuu sio kweli kwamba uki fail bam ndo hupati chuo nina mshikaji wangu ana CBG-DDC ila bam ana F kapata SUA forest
Kwani kwenda kuwa mchanja kuni nako kunahitaji knowledge ya "mathematikisi?"
 
Pole sana ndugu hapo ni shida shida sana kupata chuo kuna dogo pcb anaushindi mzuri amekosa chuo , tukamshauli abadili kozi akaweka mpaka koz nyingine za science hadi IT pia wamemkataa sasa hivi anarudi kusoma diploma , huwa sipendi kumpa mtu habari mbaya lakini usikate tamaa sometimes miujiza hutokea , unahitaji kutumia akili sana katika kuchagua kozi pamoja na chuo.
Akili ipi anayotakiwa kuitumia ikiwa akili aliyoitumia mwanzo imemuangusha?.
 
Unanikumbusha mwaka jana one yangu ya tisa PCB nikabaki mtaani... Dahh!!!
 
Mwaka jana nimepata chuo round ya tatu ila tatizo la vijana wengi hawana taaluma ya uchaguzi wa kozi wanazopasa hivyo wengi hurundikana kuchagua kozi za aina moja ilihali competition iko juu hivyo wale matokeo ya kawaida wanaomba za kawaida wanapata mapema round ya kwanza tena zinakuwa priority ila wew ukija kustuka eti uzijaze tayar no vacant orbital
Ila nikusihi tafuta vyuo vya diploma hususan private anza shule au iyo ada ichukue uanze kuchakarika tu mapema mana hata huko mbele si kuzuri

nime kuja kushtuka orbital zote zime kuwa full occupeid tuta zifanyia excitation mwakani
 
🧐ina wezekana lakini
Mzumbe Mbeya campus ina uhitaji wa wanafunzi, ukienda kuomba chuoni kuonana na admins wanakuregister, rucu iringa pia, saut songea pia, stella Marris huko kusini hivo hivo, nenda chuoni pale watakupa nafasi labda useme hela hakuna tukuchangie vyuo vipo aisee
 
Pole sana ndugu hapo ni shida shida sana kupata chuo kuna dogo pcb anaushindi mzuri amekosa chuo , tukamshauli abadili kozi akaweka mpaka koz nyingine za science hadi IT pia wamemkataa sasa hivi anarudi kusoma diploma , huwa sipendi kumpa mtu habari mbaya lakini usikate tamaa sometimes miujiza hutokea , unahitaji kutumia akili sana katika kuchagua kozi pamoja na chuo.
Braza tatizo mwaka huu pcb wamefaulu sana ... Na kwa huu utaratibu wao wa kuapply imeleta competition kubwa sana kwa hawa vijana wetu wa cbg maana watu wameachwa mpaka kwenye zile kozi za kawaida kabisa kama education....
 
Back
Top Bottom