Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,875
Kwani kwenda kuwa mchanja kuni nako kunahitaji knowledge ya "mathematikisi?"Naomba ni kusahihishe apo mkuu sio kweli kwamba uki fail bam ndo hupati chuo nina mshikaji wangu ana CBG-DDC ila bam ana F kapata SUA forest

nime kuja kushtuka orbital zote zime kuwa full occupeid tuta zifanyia excitation mwakani
nime tulia big broo.Ume pita kwenye uzi wangu wa madereva