We jamaaa pimbi nini sisi inahusuni nini sisi tumeamua kuwazuia kenya wasilete corona na sikingine izo zingune niwao wanajistukia sisi atujasema kwakuwa wao wamezui hapana ila tumezuia kwakua wao ni tishio kwa maambukizi afrika mashari usikaze ubongo
Wanafikiri sisi kiongozi wetu kilaza wakupekwa wanavyo taka wasubili kwanza mpaka nasisi tuamue kuwaruhu kwanza kwao kuna corona wasituletee ugonjwa hapa
Nakuelewa mkuu
Wambiie sisi sio mkoa katika taifa lao sisi nitaifa na hatuyumbishi na wapuuzi hao ,kila taifa lishinde mechi zake pimbi hia hawana maamuzi Tz hatutaki unafki
Wewe mtoa mada hujielewi kabisa nyinyi ndio mlianza kwa kuto tuamini
1.tulikubaliana madeleva wa maroli kimmoja ampime wake akiwa salama apewe cheti kenya mkajifanya wajuaji kwamba madereva wetu muwapime tena na nyinyi mtu hana corona mnasema anayo.
2.mbali na hivyo makawa mna wanyanyasa...
Anamchukia ozil kwakua kambwambia ukweli ananikira sana emery binafsi nilitamani kumuona wakimfuta kazi afundishi mpira wa tamadini yetu mpira tulio uzoea timu aichezi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.