Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Western Propaganda,watuache na EBOLA yetu haiwahusu, sisi mbona hatuingilii ushoga wao?
Hahaha mabeberu wanatuonea wivu donor country sioWestern Propaganda,watuache na EBOLA yetu haiwahusu, sisi mbona hatuingilii ushoga wao?
Swali la msingi la kujiuliza ni kwanini wana uchungu na Afrika sana kuliko kawaida. Hapa ndipo napopata funzo kwamba ukiona mfugaji anampenda sana mfugo wake si kwamba ni upendo wa agape bali anampenda kwa kuwa anajua ni kitoweo anayetembea!Hahaha mabeberu wanatuonea wivu donor country sio
Huku tunapewa ArV zao kila mwezi
Waondoke hawa wasitubabaishe tutatumia mitishmba 😅😅
Hahaha so una maomi gani mkuuSwali la msingi la kujiuliza ni kwanini wana uchungu na Afrika sana kuliko kawaida. Hapa ndipo napopata funzo kwamba ukiona mfugaji anampenda sana mfugo wake si kwamba ni upendo wa agape bali anampenda kwa kuwa anajua ni kitoweo anayetembea!
Watuache na Ebola,Ukimwi,ufisadi,rushwa,rasilimali zetu na tamaduni zetu za asili ...wao wapambane na BREXIT yao,ushoga,ubaguzi,silaha zao za maangamizi dhidi ya binadamu,unafiki na uzandiki wao.Hahaha so una maomi gani mkuu
Waondoe dawa zao tutatumia dawa za kimasai na kikombe cha babuHahaha mabeberu wanatuonea wivu donor country sio
Huku tunapewa ArV zao kila mwezi
Waondoke hawa wasitubabaishe tutatumia mitishmba
Wanatulazimishia ugonjwa mashetwain hawa...
tz tungekuwa na ebola hata bila serekali kusema tungejua.....