Habari hii haijakamilika na kimsingi fanya utafiti vizuri ili uweze kueleweka na wasomaji wengine! Kwa mfano kichwa cha habari kinasema Arusha mjini, sasa Olmoti au NAFCO ipi iko Arusha mjini? Hadithi yako inafanana na eneo fulani linaloitwa Lolkisale (ambayo ndio kata) na Nafco na Olmoti ni...
Gnassingbe, jibu langu kwako kama mmoja wa baba zako, napenda kukuuliza, hivi hao mama zako wangekuwa bize wewe ungepatikana? Tulioa hao kwa faida yenu....
Trump eti akate hiyo hela ya misaada? Kwani watu wake si wanapata ajira kwa hiyo misaada au hao wanokuja nayo huwa sio hiyo misaada ndio inawalipa? US will have to re-visit the decision.
Ujumbe huo umeshatumwa kwangu mara tatu, cha kushangaza sijawehai kuwasiliana au kumwombea mtu kitu kama hicho, ila all the time nimempotezea tu maana nilijua ni uhuni na utapeli
Bubu Msemaovyo ...You have made my day! Leo ujasema ovyo! By the way, jina lako na unayoyasema hayaendani! Good memories are good things to cherish, najua HuXiang yapo yaliyokupata hata hataki kusikia majina kama bonge la mwanasoka wa enzi hizo na mwanasheria mzuri wa leo 'James Mbwana' au...
Daby, I can't you....Seriously uko juu! Leo kidogo siku imekuwa nzito na kiza kilitanda kitika mood na everything kwangu (toka asubuhi) ,,Ila sasa kwa narratives zako umenifuraisha..Bravo! Lbda Asprin au Shunie wawe na yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.