Describe and explain anything about HIm/HEr

Daby

JF-Expert Member
Oct 26, 2014
33,648
75,729
Niaje wana chit-chat jukwaa limepoa saana siku hizi. Sijui promo za politicians au sijui pesa za bundle zimekata. Ok haya poa tu. Tutafanyaje bhana.

Leo tunafanya hivi unawachukua member wawili hapa jf wadadavue.. waelezee jinsi walivyo na unavyohisi walivyo nje na ndani ya JF. Hii ni njia ya kujenga urafiki lakini pia ukikosea ukamdescribe mtu vibaya utachezea vitasa na hiyo itakuwa ni juu yako.

Binafsi....nitaanza na hawa watu
 
1. Asprin.
Huyu jamaa kwanza ni swahiba wangu. Kwa wasiomkumbuka alikuwa anaitwa Chrispin enzi zilee. Anapenda sketi saana saana. Kuna siri kibao nimemfichia kwa shemeji yangu kiasi kwamba akinimind tu nasema na ataachika soon.

Anapenda kuongea pumba saana na ukifuatilia post zake utaishia kucheka. MO11 anatabia zinazofanania na huyu ila sema mo11 mdomo wake mzito. Ila wapo smart saana wawapo serious.

2. Shunie. Haka kadada ka tanga aseeh kanachekesha saana. Kwanza muda wote kapo online JF nafikir mchuchu wake anakaribia kufilisika kwa bundle.kama hakanunuliwi bundle kaje kabishe hapa.

Ukikatania kukatongoza basi katakujibu kwa unyonge hadi unakaonea huruma. Nafikiri kanaheshimu mahusiano yake maana viwembe wa jf kama Saint Ivuga ameshindwa kukachukua.
 
Daby, I can't you....Seriously uko juu! Leo kidogo siku imekuwa nzito na kiza kilitanda kitika mood na everything kwangu (toka asubuhi) ,,Ila sasa kwa narratives zako umenifuraisha..Bravo! Lbda Asprin au Shunie wawe na yao...
haka kawiki ukifuatilia stori zake unaweza kupata kifaduro cha Ubongo mkuu. Ngoja tuitafute furaha kwa hivi maana furaha inatafutwa

Hauna watu wa kuwadecribe wewe?
 
Mimi wa kwanza ni Paprika nimempenda na bure sijui km nimwanamke au ni binti Nikiangalia comment zake yani huwa anafikiria kitu kabla yakukiandika in short anaonekana nimwanamke mwenye hekima saana na anajielewa.... Wapo wengi lkn paprika kura yng imemuangukia ... Wa pili Daby ye pia tabia zake zinaendana kdg na paprika Alf unaonekana unaakili flani hviii sijui nizielezee vipi Alf we nimtu mzimaeee??
 
Mimi wa kwanza ni Paprika nimempenda na bure sijui km nimwanamke au ni binti Nikiangalia comment zake yani huwa anafikiria kitu kabla yakukiandika in short anaonekana nimwanamke mwenye hekima saana na anajielewa.... Wapo wengi lkn paprika kura yng imemuangukia ... Wa pili Daby ye pia tabia zake zinaendana kdg na paprika Alf unaonekana unaakili flani hviii sijui nizielezee vipi Alf we nimtu mzimaeee??

Hivi mtu mzima nikuanzia miaka mingapi vilee ili nikujibu
 
Back
Top Bottom