Uozo wa maafisa watendaji kata ya Olmoti jimbo la Arusha mjini mkoa wa Arusha

lendanai

JF-Expert Member
Oct 19, 2014
365
259
Habari,

Nina furaha kubwa kupata fursa hii tena ya kuchangia hoja mbalimbal humu jukwaani lengo ni kushare uzoefu,ujuzi na maarifa. Siku kadhaa zilizopita nilitembelea baadhi ya kata mbalmbali,ndipo nilipokutana na hii kero ya wananchi pale kata ya Olmot. Kwa ufupi iko hivi maafisa watendaji wa kata hii wamekuwa miungu watu kwani wamekuwa na vitisho kwa wananchi wenye matatzo yao hasa hasa hizi migogoro ya mipaka.

Unakuta mtu ana vielelezo zote zinazoonyesha uhalali wa haki yake lakini maafisa hawa hutoa maamuzi kwa upande ambao wamepewa kitu kidogo au rushwa kwa ufasaha. Hii nimeshuhudia live kabisa pale kitongoji cha Nafco kata ya Olmot mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka 13 sasa kati ya bwana Saiguran mlalamikaji na bwana Aloyce Meshilieki mlalamikiwa,maafisa watendaji hawa walikuwa kwa mbwembwe nyingi huku wakijitapa kuwa wao ndio Serikali na wana uwezo wa kuamua chochote na mwananchi asifanye lolote.

Pia waliambatana na afisa taarafa ambayo naye alionekana kupendelea upande mmoja wenye maslahi kwao,walitoa uamuzi ambayo ni kama kuwachochea hawa ndugu kwa sababu wamemnyang'anya bwana Saiguran eneo lake lenye ekari tatu na kumkabidhi bwana Aloise.

In term of conflict resolution hii sio sahihi kwa sababu hawa kuangalia hasa chanzo cha mgogoro ni nini wao wamechukulia jambo in power of rules yaani wapi ndio wenye mamlaka,nimejaribu kuangalia chanzo cha ugomvi nikapata haya,.

Kwanza hizi eneo zilikuwa na namba,iko hivi bwana Saiguran shamba lake liko upande wa namba moja na ana vielelezo zote zinazoonyesha haya na bwana Alois yeye shamba lake liko upande wa namba mbili. Utata ulianzia pale bwana Alois aliponunua shamba kutoka kwa mtu mwingine eneo ambalo anaishi yeye na kujikuta anavuka mpaka kitongoji hiki cha Nafco.

Kata ya Olmot imekuwa na migogoro mingi sana ya ardhi inayosababishwa na mipaka kati ya namba moja na namba mbili kutojulikana ilipo hasa,kuna baadhi ya wananchi wanayo ramani kabisa tatizo likaja kuhusu surveyer wa kuwasaidia kusoma hizo coordinate na kumulika bicon za mipaka hii,.

Rai yangu naomba Serikali iingilie migogoro ya kata hii hasa hasa waje na surveyer kabisa ili kuondoa hii kero iliyodumu pale kwa miaka mingi,afisa tarafa ameshindwa hili kabsa na tatzo dogo sana ni mipaka tu basi.

Nawasilisha wadau
 
Habari hii haijakamilika na kimsingi fanya utafiti vizuri ili uweze kueleweka na wasomaji wengine! Kwa mfano kichwa cha habari kinasema Arusha mjini, sasa Olmoti au NAFCO ipi iko Arusha mjini? Hadithi yako inafanana na eneo fulani linaloitwa Lolkisale (ambayo ndio kata) na Nafco na Olmoti ni vijiji ndani ya hiyo kata! Kwa mwandishi mzuri, ni lazima ufanye utafiti ili usomeke na ueleweke
 
Habari hii haijakamilika na kimsingi fanya utafiti vizuri ili uweze kueleweka na wasomaji wengine! Kwa mfano kichwa cha habari kinasema Arusha mjini, sasa Olmoti au NAFCO ipi iko Arusha mjini? Hadithi yako inafanana na eneo fulani linaloitwa Lolkisale (ambayo ndio kata) na Nafco na Olmoti ni vijiji ndani ya hiyo kata! Kwa mwandishi mzuri, ni lazima ufanye utafiti ili usomeke na ueleweke
Ahsante mdau,naamaanisha jimbo la arusha mjini,kata ya OLMOT kitongoji cha NAFCO nadhani hapo umenielewa mkuu
 
Arusha mjini au mkoa wa Arusha? Olmot na Nafco zipo Wilaya ya Monduli (Kata ya Lolkisale mkuu.....
 
Arusha mjini au mkoa wa Arusha? Olmot na Nafco zipo Wilaya ya Monduli (Kata ya Lolkisale mkuu.....
Ametumwa huyo...hajui anachosema.
Olmot sio kata, kata ni Loiksale.

Bado haelewi, na hazipo Arusha mjini, bado haelewi. Sasa ameleta uzi ili tumfundishe?

Kama amesema ameenda...anashindwaje kujua jina la kata, kijiji na kitongoji?
 
Unalalamika si uende mahakamani upate haki.Unawatuhumu watu hovyo ili upate kiki.Ushamba usio na kipimo.
 
Ametumwa huyo...hajui anachosema.
Olmot sio kata, kata ni Loiksale.

Bado haelewi, na hazipo Arusha mjini, bado haelewi. Sasa ameleta uzi ili tumfundishe?

Kama amesema ameenda...anashindwaje kujua jina la kata, kijiji na kitongoji?
Ametumwa huyo...hajui anachosema.
Olmot sio kata, kata ni Loiksale.

Bado haelewi, na hazipo Arusha mjini, bado haelewi. Sasa ameleta uzi ili tumfundishe?

Kama amesema ameenda...anashindwaje kujua jina la kata, kijiji na kitongoji?
Mdau nahisi una weakness in understanding, pili ,soma title ya thread kwanza,I know what am written my friend,swala la kutumwa ni uelewa wako na mtazamo wako,in short weak mind always make nose
 
Unalalamika si uende mahakamani upate haki.Unawatuhumu watu hovyo ili upate kiki.Ushamba usio na kipimo.
Ahsante sana mdau HAYALAND,nmependa ushauri wako but swal sio mahakam coz hili ni tatzo la wananchi sio yangu in personal mkuu,LEO hii kesi nyingi zipo mahakamani coz maamuzi ni ya mezani,I hope ingekuwa maamuz huja hadi penye tukio tungeona faida kubwa San,kama umenielew vizur what I mean ni directly conflict resolution ndio ingetumika kwa tatzo nililoeleza hapo Juu,AHSANTE
 
Ametumwa huyo...hajui anachosema.
Olmot sio kata, kata ni Loiksale.

Bado haelewi, na hazipo Arusha mjini, bado haelewi. Sasa ameleta uzi ili tumfundishe?

Kama amesema ameenda...anashindwaje kujua jina la kata, kijiji na kitongoji?
NIA YAKE ILIKUWA KUMCHAFUA LEMA SASA KABUG STEP. UNAWEZA KUTA ALIYELETA BANDIKO HATA HAJAWAHI FIKA ARUSHA. KAFIKA LUMUMBA KAEWA ASSIGNMENT YA KUMCHAFUA LEMA, YEYE KAKIMBILIA KUULIZA MAJINA YA SEHEMU ZA ARUSHA
 
Mwandishi hajui anachotaka hadhira yake ipate. Akajipange. Halafu mkiambiwa mfumo wa elimu unapaswa kufumuliwa mtabisha. Teh!
 
Habari,

Nina furaha kubwa kupata fursa hii tena ya kuchangia hoja mbalimbal humu jukwaani lengo ni kushare uzoefu,ujuzi na maarifa. Siku kadhaa zilizopita nilitembelea baadhi ya kata mbalmbali,ndipo nilipokutana na hii kero ya wananchi pale kata ya Olmot. Kwa ufupi iko hivi maafisa watendaji wa kata hii wamekuwa miungu watu kwani wamekuwa na vitisho kwa wananchi wenye matatzo yao hasa hasa hizi migogoro ya mipaka.

Unakuta mtu ana vielelezo zote zinazoonyesha uhalali wa haki yake lakini maafisa hawa hutoa maamuzi kwa upande ambao wamepewa kitu kidogo au rushwa kwa ufasaha. Hii nimeshuhudia live kabisa pale kitongoji cha Nafco kata ya Olmot mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka 13 sasa kati ya bwana Saiguran mlalamikaji na bwana Aloyce Meshilieki mlalamikiwa,maafisa watendaji hawa walikuwa kwa mbwembwe nyingi huku wakijitapa kuwa wao ndio Serikali na wana uwezo wa kuamua chochote na mwananchi asifanye lolote.

Pia waliambatana na afisa taarafa ambayo naye alionekana kupendelea upande mmoja wenye maslahi kwao,walitoa uamuzi ambayo ni kama kuwachochea hawa ndugu kwa sababu wamemnyang'anya bwana Saiguran eneo lake lenye ekari tatu na kumkabidhi bwana Aloise.

In term of conflict resolution hii sio sahihi kwa sababu hawa kuangalia hasa chanzo cha mgogoro ni nini wao wamechukulia jambo in power of rules yaani wapi ndio wenye mamlaka,nimejaribu kuangalia chanzo cha ugomvi nikapata haya,.

Kwanza hizi eneo zilikuwa na namba,iko hivi bwana Saiguran shamba lake liko upande wa namba moja na ana vielelezo zote zinazoonyesha haya na bwana Alois yeye shamba lake liko upande wa namba mbili. Utata ulianzia pale bwana Alois aliponunua shamba kutoka kwa mtu mwingine eneo ambalo anaishi yeye na kujikuta anavuka mpaka kitongoji hiki cha Nafco.

Kata ya Olmot imekuwa na migogoro mingi sana ya ardhi inayosababishwa na mipaka kati ya namba moja na namba mbili kutojulikana ilipo hasa,kuna baadhi ya wananchi wanayo ramani kabisa tatizo likaja kuhusu surveyer wa kuwasaidia kusoma hizo coordinate na kumulika bicon za mipaka hii,.

Rai yangu naomba Serikali iingilie migogoro ya kata hii hasa hasa waje na surveyer kabisa ili kuondoa hii kero iliyodumu pale kwa miaka mingi,afisa tarafa ameshindwa hili kabsa na tatzo dogo sana ni mipaka tu basi.

Nawasilisha wadau
Full of nonesense.
 
NIA YAKE ILIKUWA KUMCHAFUA LEMA SASA KABUG STEP. UNAWEZA KUTA ALIYELETA BANDIKO HATA HAJAWAHI FIKA ARUSHA. KAFIKA LUMUMBA KAEWA ASSIGNMENT YA KUMCHAFUA LEMA, YEYE KAKIMBILIA KUULIZA MAJINA YA SEHEMU ZA ARUSHA
Hapana alitaka kuonyesha kwamba naye ni msomi. Kaingia kwa gia mbovu
 
NIA YAKE ILIKUWA KUMCHAFUA LEMA SASA KABUG STEP. UNAWEZA KUTA ALIYELETA BANDIKO HATA HAJAWAHI FIKA ARUSHA. KAFIKA LUMUMBA KAEWA ASSIGNMENT YA KUMCHAFUA LEMA, YEYE KAKIMBILIA KUULIZA MAJINA YA SEHEMU ZA ARUSHA
NIA YAKE ILIKUWA KUMCHAFUA LEMA SASA KABUG STEP. UNAWEZA KUTA ALIYELETA BANDIKO HATA HAJAWAHI FIKA ARUSHA. KAFIKA LUMUMBA KAEWA ASSIGNMENT YA KUMCHAFUA LEMA, YEYE KAKIMBILIA KUULIZA MAJINA YA SEHEMU ZA ARUSHA[/QUO,salam mdau Wang,nafikir tumetofautian kimtazamo mkuu coz sijataja jina la Mbunge lema wala kiongoz mwingine nmeface tatzo lilopo sehem niliyotaja,na ukitaka approval yake tembelea kata hyo na Kitongoji niliyotaja then uje unijudge sasa,ahsante
 
Hapana alitaka kuonyesha kwamba naye ni msomi. Kaingia kwa gia mbovu
,mmmmmmh sidhani kama lengo lang ni hilo,kama ujanielewa nashukuru piah,but my target is resolution in the conflict I mentioned in the thread above, Ahsante
 
Hapana alitaka kuonyesha kwamba naye ni msomi. Kaingia kwa gia mbovu
,mmmmmmh sidhani kama lengo lang ni hilo,kama ujanielewa nashukuru piah,but my target is resolution in the conflict I mentioned in the thread above, Ahsante
 
Back
Top Bottom