Kweli mdau umetukumbusha mbali....mi nilikuwepo pale miaka ya 1995. Nakumbuka wengi wa hao waalimu...enzi zetu Headmaster alikuwa Mr Msuka...as a matter of fact..hiyo ilikuwa statement yake ya kufungulia speech parade.
Kuna mwalimu mmoja tulikuwa tunamwita Chuck Norris.....nimesahau jina lake aisee.
Msamiati wa Uchi wa Shangazi mnaukumbuka? Morris dereva alikuwa anajiita form six-combination PCO..hahahaaaaa!!!
Mzumbe imewatoa wengi sana aisee....siku hizi hamna special anymore....nakumbuka si tulikuwa special wa mwanzo mwanzo..tehetehetehe.....!!!
Msamiati wa Mongwe ulikuwa una maanisha kuwa umechacha...huna hela.
Kuna mwalimu mmoja tulikuwa tunamwita Chuck Norris.....nimesahau jina lake aisee.
Msamiati wa Uchi wa Shangazi mnaukumbuka? Morris dereva alikuwa anajiita form six-combination PCO..hahahaaaaa!!!
Mzumbe imewatoa wengi sana aisee....siku hizi hamna special anymore....nakumbuka si tulikuwa special wa mwanzo mwanzo..tehetehetehe.....!!!
Msamiati wa Mongwe ulikuwa una maanisha kuwa umechacha...huna hela.