Recent content by quantumQ

  1. Q

    Msaada wa huduma ya Alipay

    Nafanya malipo kwa Suppliers wa China kwa Rate rafiki Kwa mahitahi ya RMB (Yuan) utapata hapa WhatsApp +8617822187403
  2. Q

    Naomba kuelewa nikiwa na Masters nikaomba kazi yenye Qualification ya Bachelor

    Thanks for your reply Actually tangu nimemaliza Bachelor I was on the job (Software Engineering) for 5 years now paid more than that salary you are talking about. Na hata nilivyokuwa nasoma abroad nilikuwa naendelea kulipwa salary na bado ni mwajiriwa ila kuna nafasi za kazi zinazotoka za Data...
  3. Q

    Naomba kuelewa nikiwa na Masters nikaomba kazi yenye Qualification ya Bachelor

    Thanks for your reply Kuhusu experience baada ya kumaliza Bachelor nimefanya kazi miaka 5 kwa software development ndio nikaenda kusoma Masters. Nilikuwa nazungumzia experience ya Data Analysis
  4. Q

    Naomba kuelewa nikiwa na Masters nikaomba kazi yenye Qualification ya Bachelor

    Mfano kwenye tangazo la ajira linataka Data Analyst ila kwenye qualification wameandika Bachelor degree ila mimi nina Masters Je, nitakuwa disqualified kwa ku orodhesha kuwa ngazi yangu kubwa ya elimu ni Masters au katika kufanya maombi nisiseme kuwa nina Masters nionyeshe tu nina Bachelor...
  5. Q

    Ni sawa mwanafunzi kamaliza form 6 hajui hata kuandika "hello world" ila anategemea kusomea computer science / engineering kutamfanya awe nondo ?

    Mi nilianza degree nikiwa sijui any programming language lakini hadi leo nimetengeneza mifumo ambayo ina process millions of transactions per month na mifumo inatumika nchi nzima
  6. Q

    Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

    Sio muda wote ni kwa vipindi kadhaa labda sehemu ipo fresh na sheria za barabara zinaruhusu basi ndani ya dk 5 unakuwa kwenye hiyo speed. Speedometer inasoma hadi mwisho
  7. Q

    Gharama za kufanya finishing chumba kimoja (self contained)

    Naomba kujua makadirio ya gharama za kufanya finishing chumba kimoja Vitu vya kufanya Rough Floor Mlango wa mbao Mlango wa Alminium kwa ajili ya toilet Plaster Skimming Blandering Gypsum board Rangi Tiles chumbani Tiles toilet - juu na ukutano (toilet ina ukubwa wa 2.5m x 2.7m) Choo cha kukaa...
  8. Q

    Mwenye dawa ya Tinnitus

    Kuna dawa nilipewa hospitali (dawa ya kutibu brucellosis), dozi ya mwezi mzima, nilivyokuwa naitumia kama wiki ya pili hivi nikaanza ku experience ringing noise kwenye masikio yote. Nikajua ni dawa tu nikimaliza dozi hiyo hali itaisha. Ila baada ya kumaliza dozi wapi hiyo hali haikuisha...
Back
Top Bottom