Recent content by qmansome

  1. qmansome

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Channel gani inaonyesha game yetu DSTV
  2. qmansome

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    What's your analysis upon today's match brother hebu weka madini kwanza
  3. qmansome

    Wauzaji wa spare za magari za daladala aina zote, canter, fusso, rosa

    Ndugu wadau karibuni, tunauza vifaaa vya magari, pamoja na mataa maalumu kwa daladala, CANTER, FUSSO, ROSSA, na other accessories za magari tofauti kwa bei nafuuu kabisa, Jipatie bolt & nuts, stadi, U bolts , XL study za magari aina zote, pamoja na liquid fluids kwa bei nafuu kabisa. Na vifaaa...
  4. qmansome

    MIFI vs Router kwa matumizi ya nyumbani

    Mimi natumia MIFI ya TTCL ni nzuri sana naunganisha watu 10 na internet yk ipo kasi balaaa
  5. qmansome

    Natafuta laptop ya kununua

    Kama inayo hizo specification zote naomba pics zake Inbox
  6. qmansome

    Natafuta laptop ya kununua

    Habari wadau, mimi ni mwanafunzi wa course ya civil engineering, nahitaji laptop mpya au used, yenye sifa zifuatazo Ram 6/8 Core i7 TB 2 Graphic memory 2
  7. qmansome

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Hakika nyumbani kumenoga, mna huduma nzuri sana hongereni
  8. qmansome

    Ndoa special thread

    Wadau nao wana chama chao ( MBA) Married but still available, Sent using Jamii Forums mobile app
  9. qmansome

    Ndoa special thread

    Wadau karibuni tupeane visa, na mikasa tunayokutana nayo kwenye ndoa zetu. Tupeane hints za kutaka kuoa, maana kuna changamoto kubwa katika ndoa zetu za mwendo kasi kuvunjika ndani ya muda, mfupi. Tupeane darasa (counseling) ya namna bora ya kutatua changamoto zinazotokeza kwenye ndoa zetu...
  10. qmansome

    Weekend Story! Bigger Levels, Bigger Devils

    Lara hili picha mwishon umecheza Sana rafu,
  11. qmansome

    Weekend Story! Bigger Levels, Bigger Devils

    Lara umestopisha game za watu huku zisiendelee ujue ,hebu amsha dude. Watu wa rudi uwanjan
  12. qmansome

    Nahitaji mbaazi

    Grade ya Arusha iko tofaut na mikoa nyingine nafkir inachangiwa na Hali ya hewa
  13. qmansome

    Nahitaji mbaazi

    Hapo nichek nikupe contact yk muwasiliane nae na mnaweza Ku negotiate
Back
Top Bottom