MIFI vs Router kwa matumizi ya nyumbani

Aangalie kwenye hizo simu data imetumikaje?

Na hizi router kama hujabadili default password pengine mtu wa nje ameingia na kuona password ya wifi, huwa anaangalia kama ni hizo simu mbili tu ndio zinatumika?

Kama ni router ya huawei wana app yao playstore anaweza kuimanage kirahisi.
Ahsante mkuu
 
Mkuu kama una uwezo nunua Router nzuri, sio tu itakusaidia kwenye kustream online bali hata offline, kwa maisha ya kisasa router ni must have kuunganisha vifaa vyote nyumbani.

Kuhusu suala la kustream na kukwama halihusiani na router ama simu ama mifi bali aina ya modem iliotumika.

Ili kutake advantage ya mitandao yetu hio router inatakiwa iwe na:
1. Band zote, 800, 1800, 2300 na 2600 mhz, kuna band zinakuwa na speed kuliko nyengine, mfano speed ya tigo band 800 ni ndogo ila band 1800 ni kubwa sana.

2. Iwe na angalau Lte Advance (300mbps kupanda) sababu tayari mitandao yetu baadhi wana hii speed.

3. Iwe na angalau Mimox2 ila Mimox4 recomended, hii huongeza speed sana, hasa kwa Halotel, ni uwezo wa Router kupokea signal kutoka Mnara(antenna) zaidi ya mmoja.
Naomba msaada apo kuhusu hizi router. Inaweza kutumika kwa umbali gani? Namaanisha Kama router iko nyumbani, ni umbali gani nitaenda na simu yangu nikiwa natumia hiyo WiFi bila kupoteza network?
 
Habari zenu wakuu?

Msaada wenu tafadhali. Nahitaji kununua kifaa kimoja wapo cha internet kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, je ni kipi ambacho kitakuwa na speed nzuri maana napenda kustream online ila hotspot ya simu naona inakwama sana.

Msaada wenu tafadhali
Moreover, a router is an intelligent device working at Layer 3 of the OSI Model. In this way therefore, it avoids collission of packets being routed. So it must be able to provide you with a reasonably high internet speed as opposed to the devices you have previously been using
 
Naomba ushauri nitumie nini
Kuna zile Antena wanatumia hawa wifi providers, sijui jina lake ila inakwenda juu ili isizibwe na kitu, hivyo kuweza kusafirisha wifi umbali mrefu.

Kwetu vijijini zinakuwa kama hivi
51ZX1cP8CfL._AC_SY400_.jpg


Huku mjini kkoo naona wanaweka sana hizi
Polish_20201211_211353275.jpg


Zipo za brand nyingi nyingi hizo Antenna kama Tp link. Bei zake online naona $20 mpaka $100 hivyo ni kama router za kawaida tu.
 
Nenda Halotel wanauza 70k 95k

IMG_0456.jpg

IMG_0457.jpg


Ndo natumie na niko porini sana ila inasonga 4G all the time . Tia mzigo wakutosha.
 
Mimi natumia MIFI ya TTCL ni nzuri sana naunganisha watu 10 na internet yk ipo kasi balaaa
 
Kuna zile Antena wanatumia hawa wifi providers, sijui jina lake ila inakwenda juu ili isizibwe na kitu, hivyo kuweza kusafirisha wifi umbali mrefu.

Kwetu vijijini zinakuwa kama hivi
51ZX1cP8CfL._AC_SY400_.jpg


Huku mjini kkoo naona wanaweka sana hizi
View attachment 1647531

Zipo za brand nyingi nyingi hizo Antenna kama Tp link. Bei zake online naona $20 mpaka $100 hivyo ni kama router za kawaida tu.
Mkuu kama tulivyozoea kuona miundombinu iwekwayo kwenye wiring ya nyumbani ambapo kunakuwa na main switch na switch za kawaida, je kama ukitaka vutia fiber nyumbani ni miundombinu ipi huwa wanasimika....!?
 
Mkuu kama tulivyozoea kuona miundombinu iwekwayo kwenye wiring ya nyumbani ambapo kunakuwa na main switch na switch za kawaida, je kama ukitaka vutia fiber nyumbani ni miundombinu ipi huwa wanasimika....!?
Ukiacha miundombinu Yao kwako unaingia waya ambao unaenda moja kwa moja kwenye router. Router inatengeneza wifi kwa matumizi ya nyumba nzima.
 
Chief-Mkwawa samahani chief nilikua nauliza hii usb port kwenye router ni ya kazi gani na inatumikaje?

halafu haka kasehemu ka wps ni kanini na kana fanya kazi gani kakibonyezwa,maana naangaliaga tu sielewi.
 
Chief-Mkwawa samahani chief nilikua nauliza hii usb port kwenye router ni ya kazi gani na inatumikaje?

halafu haka kasehemu ka wps ni kanini na kana fanya kazi gani kakibonyezwa,maana naangaliaga tu sielewi.
USB unatumia ku upgrade firmware pia inatumikaje ku connect vifaa vingine kama printer, Nas servers etc.

Na wps ni security tu, mfano unaweza ku share wifi bila kumpa mtu password, ama ku connect printer na, vifaa vyengine automatic kwa kubonyeza tu hip wps.
 
Back
Top Bottom