Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,625
- 22,004
Ahsante mkuuAangalie kwenye hizo simu data imetumikaje?
Na hizi router kama hujabadili default password pengine mtu wa nje ameingia na kuona password ya wifi, huwa anaangalia kama ni hizo simu mbili tu ndio zinatumika?
Kama ni router ya huawei wana app yao playstore anaweza kuimanage kirahisi.