Recent content by Pweza Dume

  1. P

    Picha: Warangi ni warembo balaa!

    Mtoa mada nahisi katutanguliza, ukiwaangalia kwa makini, ni kama watu wenye asili ya kaskazini, kama waIraqw hivi...
  2. P

    Tanzia: Peter Mangula (mtoto wa Mangula) afariki dunia

    Pole sana Mzee Mangula. Nakumbuka alifiwa na binti kwa ajali ya gari hivi karibuni.
  3. P

    Sijaelewa mradi wa Serikali wa Umeme vijijini REA

    kwani ofisi za REA ziko wapi?
  4. P

    ...TBS yakamata mipira ya kiume (condom) fake!

    Dah, hilo neno chukuchuku nimelikubali mkuu...safi sana
  5. P

    Nimeanza kuzini na mama mkwe. Alikuwa ananitega mwenyewe

    duh....bado nashawishika kuwa hii hadithi ya kutunga tu. Sitaki kuamini kama ni kweli
  6. P

    Said Salim Bakhresa akamata nafasi ya 30 katika orodha ya watu matajiri 40 barani Afrika – Forbes

    Acha kukariri, kusoma sana si lazima uwe tajiri, kwani hata wamiliki wa facebook, google na Microsoft waliacha shule, kwa maana si wasomi lakini leo ndo wanaotikisa dunia kwa utajiri......ni wewe humuoni katika shughuli za kijamii lakni anafanya makubwa kuliko hao wanaotoa michango ya elfu kumi...
  7. P

    Uzalishaji wa asali

    Maelezo hayajitoshelezi kabisa. Yaani kama umekurupushwa flani hivi.. Kajipange mkuu urudi tena
  8. P

    Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

    Kama unapata Internet basi unaweza kuisikiliza online...inapatikana
  9. P

    Mmiliki wa Interchick

    Interchik wamejipanga sana wale wakenya, sio wa kujifananisha nao...ila pia ni changamoto kwetu watz kujipianga kufikia level zao kama wao wameweza na sisi pia tunaweza, cha msingi ni kuwa na malengo
  10. P

    Uhamiaji wanafanya nini? Kumbe Hussein Bashe si Raia!

    duh...mpaka mtu agombee ndo waseme sio raia.....siku zote walikuwa wapi????
  11. P

    Wahaya wote inawahusu!!!

    Jamaa wenge sana, na si ajabu ndo mara yake ya kwanza kufika DSM....Atakuwa kapata Zoom Polytechnic au eagle wing ya kariakoo
  12. P

    Kumbe Deodorant tunazotumia nazo zina madhara yake

    Mkuu naona unapotosha, kwanza Kwa Remmy hakuna bonde wanalolima mbogamboga na matunda, na ni Urafiki gani unayoizungumzia iliyopo karibu na Kwa Remmy??? Kajipange bwana
  13. P

    Interview pes

    kama kuna mtu anafahamu namna ya kujiunga na hawa PES atoe msaada please....tungependa kufahamu na sisi
  14. P

    Hasira hazijatosha, haiwezekani JK adharau na sisi tukae kimya..!

    ani JK ndo anamaliza muda wake, hana cha kupoteza, so mwache avuruge atakavyo ili kuwasafishia njia wapinzani 2015 au chaguzi nyingine zijazo...
Back
Top Bottom