...TBS yakamata mipira ya kiume (condom) fake!

...TBS yakamata mipira ya kiume (condom) fake!

tunasubiri katiba feki, baada ya rasimu na uratibu feki wa katiba.
 
kuna kit hakijakaa sawa na hi taarifa
a)zimekamatwa sokon?
b)zimefail qc tests?
c)zimelalamikiwa tu
d)zimekuwa recalled
 
Tanzania tusipoondoa hii serikali fisadi tutaisha twajiona. Kila uchao ni madudu. Jamaa wanataka watu wafe sijui wataongoza na kunyonya nini? Inakuwaje nchi yenye taasisi zote zinazohusika na upelelezi na ubora iruhusu vitu feki/ Jibu ni simpo ---rushwa. Kila mtu anaangalia mfuko wake badala ya wajibu wake. Ni bahati mbaya kuwa ni serikali hii hii inashabikia na kupromote umalaya na uchafu wa maadili. Rejea rais alivyochamkia mazishi ya Kanumba wakati alikuwa mchafuzi wa maadili wa kawaida ambaye Mungu aliamua kumpiga stop. Shame on them!
Katika taarifa ya habari ya Channel ten ya saa moja usiku leo, tarehe 21 Dec, kuna taarifa kuwa Condoms aina ya MELT ME toka INDIA ni feki na hazifai kutumiwa. Sote tunajua kuwa condom ndiyo kinga pekee iliyobaki baada ya A (kuacha ngono) na B (kuwa muaminifu) kukosa nguvu. Sasa kama condom zenyewe zinaingia feki, ni sawa na kufanya ngono zembe. Kupata HIV na magonjwa mengine na ngono ni nje nje. Ninachojiuliza hapa ni kuwa Tanzania tuna mkosi gani, hivi mjuzi zimeripotiwa ARV feki, leo Condo feki; Tutafika pale alipopasema JK - Tanzania bila Ukimwi inawezekana?
 
Shirika la viwango Tanzania limekamata mipira fake ya kiume ijulikanayo kama Melt me..

Kaimu Mkuregenzi amewatahadharisha wanaume kuwa makini na kutotumia mipira hiyo..

Ninawajuza wanaume wenzangu hapa JF msioangalia taarifa ya habari mambo ndo hivyo.. Zinaitwa Melt me.. Fake mpaka sandukuni tutapona kweli..?
 
Hapa Tanzania kila mtu anachukua chake mapema. Ukipata chance 'unapiga' kisawasawa. Wa ARV alipata nafasi akapiga, wa meno ya tembo naye anapiga kivyake, wa kampuni ya utalii kapiga hadi kabadilisha nyumba yake huku Singida kuwa LODGE, huyu 'dili' ya condom naye anapiga. SULUHISHO NI....
'Kupiga' chini CCM.
 
Umesahau walianza vipimo feki- wakata arv feki kuona haitoshi wameruhusu condom feki. Hii ndo tanzania yenye wasomi feki(ref: nchimbi na kamala). Yawezekana na sie tuko feki. Haiwezekani madudu yote haya tunaandika tu kwenye key board!
 
haya ndio madhara ya kuua viwanda vyetu vya ndani iliwa tutegemee kuletewa kutoka nje na bado tutaletewa fake kila kitu hadi tutakapo tia akili nyambaf nawapa pole wanajieka rehani maisha yao kwenye hiyo minati(condom) mie sina habari nayo na sijawahi kuiamini hata mara moja na wala sitakuja amin hayo madude coz hata hizo ambazo mnaaminishwa zina ubora nazo zina vitundu vilevile hakuna jipya hapo ni yaleyale tu.
 
haya ndio madhara ya kuua viwanda vyetu vya ndani iliwa tutegemee kuletewa kutoka nje na bado tutaletewa fake kila kitu hadi tutakapo tia akili nyambaf nawapa pole wanajieka rehani maisha yao kwenye hiyo minati(condom) mie sina habari nayo na sijawahi kuiamini hata mara moja na wala sitakuja amin hayo madude coz hata hizo ambazo mnaaminishwa zina ubora nazo zina vitundu vilevile hakuna jipya hapo ni yaleyale tu.

Mkuu kwa hiyo wewe unapiga chukuchuku..? Mie natumia sana na ninaamini uhai wangu leo umechangiwa na condoms..
 
hao TBS kama vile wamezinduka kutoka usingizini kwani kuna vitu vingi ambavyo ni feki vinaletwa hapa nchini kwetu pamoja na hayo tunashukuru kwa taarifa kwani itatusaidia kuwa makini wakati tutakapokuwa tunahitaji hiyo huduma
 
kuna kit hakijakaa sawa na hi taarifa
a)zimekamatwa sokon?
b)zimefail qc tests?
c)zimelalamikiwa tu
d)zimekuwa recalled

  1. Zimekamatwa madukani.
  2. Container lililosheheni ndom zenye thamani ya $ 100,000/= limezuiliwa bandarini.
  3. Wanafuatilia zinakotengenezwa.
  4. Beware zimejaa madukani.
 
Back
Top Bottom