Recent content by punjab

  1. P

    JamiiForums Usiku wa manane

    Eti Rita Chiwalo aliyekuwa anatangaza na Zimbwela yupo wapi siku hizi. Asikiki kabisa EA Radio
  2. P

    Utoaji wa nishani uwanja wa Sh. Amri Abeid: Maduka yanayozunguka uwanja yakaguliwa na mbwa wa Polisi na kufungwa

    Maduka yote yanaozunguka uwanja wa Sh. Amri Abeid yamefunguliwa kusachiwa na mbwa halafu yatafungwa. Hivyo hakuna biashara leo na kesho kupisha utoaji wa nishani kwa wajeda. Sasa sijajua watafidiwaje hao watu na Serikali maana wengi wao wana marejesho ya kibenki.
  3. P

    KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

    The Supreme Court has quashed President Uhuru Kenyatta's re-election, ordering for a fresh presidential election in 60 days. The court stated that IEBC did not conduct free and fair elections but cleared Kenyatta of any malpractice. They also stated that the irregularities experienced affected...
  4. P

    Nahitaji gari la Familia kwa TZS 7.2M!

    Tiba asilia ya kisukari, pumu n.k Sent using Jamii Forums mobile app
  5. P

    Nahitaji gari la Familia kwa TZS 7.2M!

    Km 80 mmh! Awe tayari kuuziwa mbuzi kwenye gunia Sent using Jamii Forums mobile app
  6. P

    Inakuwaje mtu anagoma kufa mpaka amuone mtu anayemhitaji kumuona?

    Perfect Tz ulichoongea nalo neno! Aaah aah Sent using Jamii Forums mobile app
  7. P

    HABARI NJEMA: Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yashusha riba kwa Benki kutoka 12% hadi 9%

    Kuna kiambatanisho toka BOT naomba wazoevu katika tasnia hii watueleweshe kama mwananchi wa kawaida atapata unafuu wotewote kwa kushuka kwa hizo interest rate Sent using Jamii Forums mobile app
  8. P

    Mwimbaji wa nyimbo za injili, Rose Muhando yuko wapi?

    Hivi aliishia wapi maana simsikii akitoa masong kama zamani Sent using Jamii Forums mobile app
  9. P

    Cheki hapa Mubashara Wayne Rooney na kikosi cha Everton walivotua Dar

    Natamani kuona wachezaji wa Everton mana ni timu nayoiheshimu sanaa kwa ligi ya uingereza Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
  10. P

    Serikali yakanusha kutoa majina ya rufaa za watumishi wa umma

    Kweli alijakaa mkao. Mana alijasainiwa
  11. P

    KNEC yasema cheti cha Sekondari cha Gavana Joho ni feki

    http://www.nation.co.ke/news/Joho-to-appear-before-detectives-over-forgery-claims/1056-3867022-a79f1gz/ Kwa atakayesoma...atakua hatua zinasopaswa kuchukuliwa kwa mtu aliyena vyeti feki...badala ya kupiga kelele katika mitandao.
  12. P

    Mbowe: Madaktari msiende Kenya, Rais anacheza na maisha yenu, Kenya sio salama kwa sasa

    Hakuna mgomo ulishaisha! Sema bado kuna kamgogoro ndo kanipa mashaka kaa chama cha madaktari Kenya kusema why wanatoa madaktari Tz wakati kwao kina 1400 hawajaajiliwa....Tho ktb wa wizara ya Afya Kenya kakanusha tuhuma hizo ...sasa kumbuka hiyo habari ya kupingana si habari nzuri..mana madokta...
  13. P

    Napenda kuifahamu Tanganyika Law Society(TLS)

    Hakina faida yoyote! Kinadai kipo kwa ajili ya kumtetea mtanzania kwa issue za kisheria. Cha ajabu kuna wakili anasota Kisongo kwa kesi ya kutakatisha pesa (ambayo ina dhamana).na kesi nyingi tu za watanzania zenye dhamana au kuhitaji msaada wa kisheria..sasa hapo pata picha mwanachama...
  14. P

    Tundu Lissu hafai kuwa Rais wa TLS

    THE BOARD OF LAW IS ON THE WAY TO BE FORMED; THE BILL WILL SOON BROUGHT TO THE PARLIAMENT WHICH WILL SEE AUTOMATICALLY TLS DIE AND ADVOCATES REGISTER DIRECT TO THE BOARD. AND SHOULD TLS NEED TO EXIST HAS TO REGISTER AS AN NGO.... HAPO NDO UNAPOSIKIA MILANGO YA NDEGE IMEFUNGWA NO MORE BOARDING.
Back
Top Bottom