Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,111
- 39,289
Jakaya Mrisho KikweteNi aheri Dr slaa awe Rais lakin siyo Lisu kuwa mbunge.
Jakaya Mrisho KikweteNi aheri Dr slaa awe Rais lakin siyo Lisu kuwa mbunge.
Fafanua ataipelekaje kisiasa? Hii nchi masolex anaiongoza kisiasa au kwa mujibu wa katiba? Umeshapata picha ni kwa nn magu anamuogopa Tundulisu?Lisu ataipeleka kisiasa TLS
TuliaLisu ataipeleka kisiasa TLS
Kama nyinyi mnavyopeleka nchi kisiasa na matamkoLisu ataipeleka kisiasa TLS
sisi wanasheria huyo ndiye rais wetu. hao wengine...hahahahaha, vichekesho tu.Nmebaki najiuliza kuhusu powers za Rais wa TLS katika Nchi yetu hii pendwa, sipati jibu, pamoja na majukumu mbali mbali ya TLS na pamoja na influence ya Rais wa TLS katika masuala ya kisheria hapa nchini lakini bado sijawahi kuona wala kusikia uchaguzi wa TLS uliofuatiliwa na watanania wengi kiaasi hiki!!!
Nilichokiona Serikali yenyewe imefanya kosa ambalo hawakulijua la kumpaisha Lisu both kisiasa na as a person. Maana zile kauli za kutaka kufuta TLS mara kuwa Fulani asichaguliwe zilichochea wengi kutaka huyo mtu achaguliwe, and in the other hand kumpaisha jamaa. Hivyo Serikali bila kujua ilifanya kumpigia kampeni jamaa na akapeta kiulaini.
Hongera Lissu.
Lets call a spade a spade, not a big spoon.
Lisu ataipeleka kisiasa TLS