Recent content by pumbatupu

  1. pumbatupu

    Gone Too Soon: RIP JF Member.....Chetuntu!!!

    R.I.P Chetuntu..Umetangulia but wote ndo safari yetu...
  2. pumbatupu

    Enzi ulipokuwa boarding

    Nakumbuka enzi hizo nasoma Mara Sec.. yaan mnawaza kugombana na Musoma Tec. Sababu zenyewe za maana hakuna yaan mkikutana..ndo tuseme kwenye UMISSETA mazee yaan mnapeana kichapo cha mbwa mwizi..nakumbuka game ilipigwa Musoma Tec tukamvunja jamaa Yao mguu.Ebwanaee jamaa Hawakujua mambo ya...
  3. pumbatupu

    Ninafanyaje kumu'adopt..mtoto wa kitanzania!!

    Ninahitaji kujua namna ya ku'adopt mtoto wa kitanzania..especially kisheria...waungwana nisaidieni!!
  4. pumbatupu

    Wenyeji nipokeeni mwenzenu!

    Nadhani haihusu..kikubwa tu awe na akili timamu!
  5. pumbatupu

    Hana imani na mimi.

    Muite au nenda mkoani kwake..kalie shida zako zote..akiona chozi lako..umemrudisha!!
  6. pumbatupu

    Long Distance Relationship: Raha, kero na jinsi ya kutunza mahusiano

    Sijamchukulia m'ke Kama mtoto. Hapa tunataka kuona uzoefu wa maisha..na jinsi ya kuishi na wake kwenye ndoa dada/kaka..
  7. pumbatupu

    Long Distance Relationship: Raha, kero na jinsi ya kutunza mahusiano

    Ndo maana..nimeomba ushauri..sasa na yy Kama hatakuwa na imani na mimi..siwezi kuusemea Moyo wake!!
  8. pumbatupu

    Long Distance Relationship: Raha, kero na jinsi ya kutunza mahusiano

    Mkuu..angalau Kilauea weekend..nipo nao!!..au haitoshi??
  9. pumbatupu

    Long Distance Relationship: Raha, kero na jinsi ya kutunza mahusiano

    Kuna wale wanaosema ..fimbo ya mbali..anyway nimekusoma..
  10. pumbatupu

    Long Distance Relationship: Raha, kero na jinsi ya kutunza mahusiano

    Ndo maana..nimekuja hapa ili kuchanganya na zengine mkuu..
  11. pumbatupu

    KURA ZA MAONI: CCM yazidi kupanda chati, CHADEMA ya pili

    kwa nini msifanye utafiti wa kujua kama tanzania tuna rasilimali ya mafuta, utafiti kujua hatma ya jairo, utafiti kujua mgawo wa umeme utaisha lini, utafiti kujua watanzania wangapi wanakufa kwa njaa....badala yake mnakuja na tafiti za kibwege kama hizi....shame on you!!!
  12. pumbatupu

    Long Distance Relationship: Raha, kero na jinsi ya kutunza mahusiano

    Nafanya kazi Dodoma,my wife na watoto wako Moro..Nimefanya hivi kwa vile Moro nina Nyumba na wife anapiga vibiashara pale..Nimehamia Dom Kama mwaka mmoja uliopita.Nategemea kuileta familia baada ya kujipanga make nyumba Dom gharama... Nimekuwa naenda Moro Kuwasalimia (of course kuimarisha ndoa...
  13. pumbatupu

    Yupi bora, mke msagaji au mke malaya?

    Sasa unakubali kipi...mbona hueleweki???
  14. pumbatupu

    Hodiii, mwanamke komando nimeingia JF

    karibu komandoo..wa kike!!!..au Zay B!!!
  15. pumbatupu

    Kidele ndani ya nyumba. Je, mnanikaribisha?

    Tumeanza kuulizana Jinsia..kesho tutaulizana.. blood groups...
Back
Top Bottom