KURA ZA MAONI: CCM yazidi kupanda chati, CHADEMA ya pili

President Elect

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
693
212
Kura za maoni zilioendeshwa hivi karibuni kupitia vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, zinaonyesha kuwa CCM inazidi kupanda chati huku CHADEMA ikishika nafasi ya pili.

Hata hivyo kwa upande wa wanasiasa mmoja mmoja, imeonekana kuwa Rais Kikwete anaongoza maeneo ya vijijini, wakati Mh. Zitto Kabwe na Mh. Halima Mdee wanakubalika sana maeneo ya mijini, haswa haswa miongoni mwa kada ya vijana bila kujali itikadi za vyama vyao vya siasa.

Waziri Mkuu Pinda 'mtoto wa mkulima' ameporomoka kwa asilimia kumi na mbili (12%), na kupishana kwa karibu sana na Mh. Magufuli.

Miongoni mwa wabunge, aliyeongoza ni Mh. Pindi Chana, akifuatiwa kwa karibu na waheshimiwa Anne Kilango wa CCM, na Kafulila wa NCCR-Mageuzi.

Source: Tanzania Rainbow Syndicate (TRS).
 
Kura za maoni zilioendeshwa hivi karibuni kupitia vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, zinaonyesha kuwa CCM inazidi kupanda chati huku CHADEMA ikishika nafasi ya pili.

Hata hivyo kwa upande wa wanasiasa mmoja mmoja, imeonekana kuwa Rais Kikwete anaongoza maeneo ya vijijini, wakati Mh. Zitto Kabwe na Mh. Halima Mdee wanakubalika sana maeneo ya mijini, haswa haswa miongoni mwa kada ya vijana bila kujali itikadi za vyama vyao vya siasa.

Waziri Mkuu Pinda 'mtoto wa mkulima' ameporomoka kwa asilimia kumi na mbili (12%), na kupishana kwa karibu sana na Mh. Magufuli.

Miongoni mwa wabunge, aliyeongoza ni Mh. Pindi Chana, akifuatiwa kwa karibu na waheshimiwa Anne Kilango wa CCM, na Kafulila wa NCCR-Mageuzi.

Source: Tanzania Raibow Syndicate (TRS)

Huu ndo upuuzi wa mwaka

Ina manufaa gani kwa Taifa? watu wanakufa njaa, umeme hakuna, mafuta kero, agent wa ccm wanakuja na upuuzi huu

SHIT
 
Kura za maoni zilioendeshwa hivi karibuni kupitia vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, zinaonyesha kuwa CCM inazidi kupanda chati huku CHADEMA ikishika nafasi ya pili.

Hata hivyo kwa upande wa wanasiasa mmoja mmoja, imeonekana kuwa Rais Kikwete anaongoza maeneo ya vijijini, wakati Mh. Zitto Kabwe na Mh. Halima Mdee wanakubalika sana maeneo ya mijini, haswa haswa miongoni mwa kada ya vijana bila kujali itikadi za vyama vyao vya siasa.

Waziri Mkuu Pinda 'mtoto wa mkulima' ameporomoka kwa asilimia kumi na mbili (12%), na kupishana kwa karibu sana na Mh. Magufuli.

Miongoni mwa wabunge, aliyeongoza ni Mh. Pindi Chana, akifuatiwa kwa karibu na waheshimiwa Anne Kilango wa CCM, na Kafulila wa NCCR-Mageuzi.

Source: Tanzania Raibow Syndicate (TRS)

Red: Ndo kitu gani hiki?
 
Kura za maoni zilioendeshwa hivi karibuni kupitia vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, zinaonyesha kuwa CCM inazidi kupanda chati huku CHADEMA ikishika nafasi ya pili.

Hata hivyo kwa upande wa wanasiasa mmoja mmoja, imeonekana kuwa Rais Kikwete anaongoza maeneo ya vijijini, wakati Mh. Zitto Kabwe na Mh. Halima Mdee wanakubalika sana maeneo ya mijini, haswa haswa miongoni mwa kada ya vijana bila kujali itikadi za vyama vyao vya siasa.

Waziri Mkuu Pinda 'mtoto wa mkulima' ameporomoka kwa asilimia kumi na mbili (12%), na kupishana kwa karibu sana na Mh. Magufuli.

Miongoni mwa wabunge, aliyeongoza ni Mh. Pindi Chana, akifuatiwa kwa karibu na waheshimiwa Anne Kilango wa CCM, na Kafulila wa NCCR-Mageuzi.

Source: Tanzania Raibow Syndicate (TRS)

Chadema ni wanaharakati na si chama cha siasa. Inabidi kifutwe wasajiliwe km NGOs. Si unaona sasa madhara yake haya !
 
kura za maoni zilioendeshwa hivi karibuni kupitia vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, zinaonyesha kuwa ccm inazidi kupanda chati huku chadema ikishika nafasi ya pili.

Hata hivyo kwa upande wa wanasiasa mmoja mmoja, imeonekana kuwa rais kikwete anaongoza maeneo ya vijijini, wakati mh. Zitto kabwe na mh. Halima mdee wanakubalika sana maeneo ya mijini, haswa haswa miongoni mwa kada ya vijana bila kujali itikadi za vyama vyao vya siasa.

Waziri mkuu pinda 'mtoto wa mkulima' ameporomoka kwa asilimia kumi na mbili (12%), na kupishana kwa karibu sana na mh. Magufuli.

Miongoni mwa wabunge, aliyeongoza ni mh. Pindi chana, akifuatiwa kwa karibu na waheshimiwa anne kilango wa ccm, na kafulila wa nccr-mageuzi.

Source: Tanzania raibow syndicate (trs)
kwa nini msifanye utafiti wa kujua kama tanzania tuna rasilimali ya mafuta, utafiti kujua hatma ya jairo, utafiti kujua mgawo wa umeme utaisha lini, utafiti kujua watanzania wangapi wanakufa kwa njaa....badala yake mnakuja na tafiti za kibwege kama hizi....shame on you!!!
 
kwa nini msifanye utafiti wa kujua kama tanzania tuna rasilimali ya mafuta, utafiti kujua hatma ya jairo, utafiti kujua mgawo wa umeme utaisha lini, utafiti kujua watanzania wangapi wanakufa kwa njaa....badala yake mnakuja na tafiti za kibwege kama hizi....shame on you!!!

Unakaa nchi gani ww ? umeme mgawo umeisha labda nyumbani kwenu luku imeisha au hamjalipi bili ya Tanesco. Nendeni mkalipe mtapata umeme hakuna kitu cha bure dunia hii hivi sasa
 
Hizi taasisi za utafiti zinatafuta uraji tu kutoka kwa Magamba maana CCM wanapenda misifa ya kijinga, inaeleweka kabisa CHADEMA ndio inakubalika kuliko chama chochote cha siasa hapa Tanzania, lakini kama kawa CDM hawana hela za kuwapa wajinga wajinga kama hawa Tanzania Raibow Syndicate (TRS).
Viva la Vida CHADEMA
 
Kura za maoni zilioendeshwa hivi karibuni kupitia vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, zinaonyesha kuwa CCM inazidi kupanda chati huku CHADEMA ikishika nafasi ya pili.

Hata hivyo kwa upande wa wanasiasa mmoja mmoja, imeonekana kuwa Rais Kikwete anaongoza maeneo ya vijijini, wakati Mh. Zitto Kabwe na Mh. Halima Mdee wanakubalika sana maeneo ya mijini, haswa haswa miongoni mwa kada ya vijana bila kujali itikadi za vyama vyao vya siasa.

Waziri Mkuu Pinda 'mtoto wa mkulima' ameporomoka kwa asilimia kumi na mbili (12%), na kupishana kwa karibu sana na Mh. Magufuli.

Miongoni mwa wabunge, aliyeongoza ni Mh. Pindi Chana, akifuatiwa kwa karibu na waheshimiwa Anne Kilango wa CCM, na Kafulila wa NCCR-Mageuzi.

Source: Tanzania Raibow Syndicate (TRS)

Ohh real??!!! then hata matokeo ya utafiti ni Syndicate - JK VS Mdee, I like this part. yaani jamaa hawezi kulinganishwa na Slaa, Lipumba au walau na Dovutwa!!
 
usiseme hivi mkuu, cha msingi kubali kuwa nchi hii ina matatizo zaidi ya unavyodhani! ...si ajabu huyu (King of Kings) ni Mtanzania naye!
Huu ndo upuuzi wa mwaka

Ina manufaa gani kwa Taifa? watu wanakufa njaa, umeme hakuna, mafuta kero, agent wa ccm wanakuja na upuuzi huu

SHIT
 
Kikwete anaongoza maeneo ya vijijini, wakati Mh. Zitto Kabwe na Mh. Halima Mdee wanakubalika sana maeneo ya mijini, ).
Kikwete vs Zito/Mdee.
They cant afford to rate JK on Slaa PhD scale.
JK vs Slaa = Mtibwa (JK) vs Barca
Hilo wamelitambua, walau katika jitihada za kukweza fisadi lao JK.
 
<font color="#ff8c00"><b>Unakaa nchi gani ww ? umeme mgawo umeisha labda nyumbani kwenu luku imeisha au hamjalipi bili ya Tanesco. Nendeni mkalipe mtapata umeme hakuna kitu cha bure dunia hii hivi sasa</b></font>
<br />
<br />

Acha kujidhalilisha wewe, don't be that cheap,
 
kama wameamua kumlinganisha zito na JK hlo linawezekana, ila kama ni cdm na ccm matokeo siyo sahihi
 
kama wameamua kumlinganisha zito na JK hlo linawezekana, ila kama ni cdm na ccm matokeo siyo sahihi
kilichofanyika ni kumlinganisha mgombea urais wa TZ na mgombea ubunge wa jimbo moja huko kigomaaa. na bado Zito kampeleka. subsitute na Slaa..... ndo mana hawakureport hivyo.
Ni deliberate omission.
 
Kura za maoni zilioendeshwa hivi karibuni kupitia vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, zinaonyesha kuwa CCM inazidi kupanda chati huku CHADEMA ikishika nafasi ya pili.<br />
<br />
Hata hivyo kwa upande wa wanasiasa mmoja mmoja, imeonekana kuwa Rais Kikwete anaongoza maeneo ya vijijini, wakati Mh. Zitto Kabwe na Mh. Halima Mdee wanakubalika sana maeneo ya mijini, haswa haswa miongoni mwa kada ya vijana bila kujali itikadi za vyama vyao vya siasa.<br />
<br />
Waziri Mkuu Pinda 'mtoto wa mkulima' ameporomoka kwa asilimia kumi na mbili (12%), na kupishana kwa karibu sana na Mh. Magufuli.<br />
<br />
Miongoni mwa wabunge, aliyeongoza ni Mh. Pindi Chana, akifuatiwa kwa karibu na waheshimiwa Anne Kilango wa CCM, na Kafulila wa NCCR-Mageuzi.<br />
<br />
Source: Tanzania Rainbow Syndicate (TRS).
<br />
<br />
Haya ndio matatizo ya kucopy na kupaste yaani Tanzagiza, mafuta shida, matatizo kila kukicha stil nawe hata kukaa chini na kutoa ushauri wako kwa hao wapuuzi ila nawe unatumia m***o kufikiria.
 
Back
Top Bottom