President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Kura za maoni zilioendeshwa hivi karibuni kupitia vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, zinaonyesha kuwa CCM inazidi kupanda chati huku CHADEMA ikishika nafasi ya pili.
Hata hivyo kwa upande wa wanasiasa mmoja mmoja, imeonekana kuwa Rais Kikwete anaongoza maeneo ya vijijini, wakati Mh. Zitto Kabwe na Mh. Halima Mdee wanakubalika sana maeneo ya mijini, haswa haswa miongoni mwa kada ya vijana bila kujali itikadi za vyama vyao vya siasa.
Waziri Mkuu Pinda 'mtoto wa mkulima' ameporomoka kwa asilimia kumi na mbili (12%), na kupishana kwa karibu sana na Mh. Magufuli.
Miongoni mwa wabunge, aliyeongoza ni Mh. Pindi Chana, akifuatiwa kwa karibu na waheshimiwa Anne Kilango wa CCM, na Kafulila wa NCCR-Mageuzi.
Source: Tanzania Rainbow Syndicate (TRS).
Hata hivyo kwa upande wa wanasiasa mmoja mmoja, imeonekana kuwa Rais Kikwete anaongoza maeneo ya vijijini, wakati Mh. Zitto Kabwe na Mh. Halima Mdee wanakubalika sana maeneo ya mijini, haswa haswa miongoni mwa kada ya vijana bila kujali itikadi za vyama vyao vya siasa.
Waziri Mkuu Pinda 'mtoto wa mkulima' ameporomoka kwa asilimia kumi na mbili (12%), na kupishana kwa karibu sana na Mh. Magufuli.
Miongoni mwa wabunge, aliyeongoza ni Mh. Pindi Chana, akifuatiwa kwa karibu na waheshimiwa Anne Kilango wa CCM, na Kafulila wa NCCR-Mageuzi.
Source: Tanzania Rainbow Syndicate (TRS).