Jeshi linamkata yeyote ambae ni tishio kwa nchi ukae ukijua hilo , Yaan hata Raisi akizingua wanamkamata wanakaa naye kizuizini sasa unaongelea mafwele? we namna gani
Vyovyote vile mtakavyo ona nyie ,Lakini Gwajima kaongea ukweli uliopo bila kujali mmefurahishwa au kuchukizwa ,He is right ,Habari za kukopa kwa enzi za waliopita zilikuwa sio kwa hii speed ya sasa ,yet mnataka watu wakae kimya shame on you ,wanaonufaika ni ka kundi kadogo ka watu halafu watu...
Tatizo vijijini tunakotoka wanatumia Voda sana sasa unajiuliza nikihama voda kule kijijini mzazi ataweza kujiunga bando la mitandao yote?
Kwa hiyo mitandao mingine iji supply kama voda then watapotea kidogo kidogo
Habari wana JF naamini kuna watu uzi huu hauna mashiko kwao kwa hiyo komenti iwe fupi fupi kidogo
Waliofanikiwa kupita interview hadi kwenda kwenye vipimo je kuna aliekwisha itwa?(Medical personel wa 2018 Dec)
wadau naomba kuuliza kama mwenye diploma of medicine(C/Officer)anaweza kwenda hiyo siku kujaribu bahat maana wametaja zahanati na vituo vya afya ambapo MD sio mahala pake pa kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.