Dr.kidudu Kidudu
Member
- Jan 18, 2016
- 9
- 1
wadau naomba kuuliza kama mwenye diploma of medicine(C/Officer)anaweza kwenda hiyo siku kujaribu bahat maana wametaja zahanati na vituo vya afya ambapo MD sio mahala pake pa kazi
Wa JKT hapo hamuhusiki kwa lugha rahisi wanataka watu wa mtaani wenye hizo fani na lasivyo wangesema wangekuwa wanawahitaji nyie zenu zinakuja endeleeni na Uzalendo na Uvumilivu msihofu.Hata Mimi Nina swali kama lako kwasababu ni mlengwa na nipo huko na Nina sifa zote
Wa Diploma hapo huna chako mkuu waache wenye vi degree vyao wakajaribu bahati zao.wadau naomba kuuliza kama mwenye diploma of medicine(C/Officer)anaweza kwenda hiyo siku kujaribu bahat maana wametaja zahanati na vituo vya afya ambapo MD sio mahala pake pa kazi
Depo boss huoni afya njema muhimu hahah lazima ukapige doso kwanza.Kwa hiyo tukishachaguliwa tunajiunga na kazi moja kwa moja au tunapitia depo kwanza
Wale walokuwa Lugaro hospital wakina nani Mheshimiwa.Ayaaaaaaaaaaaa
mkuu wewe si umesha staafu???
Km ana sifa aendeIna maana mtu kama ana sifa zoote walizohitaji na yupo JKT hawamchukui?heeh hili itakua ajabu la dunia sasa!!au waonzam yao inakuja
Yah ni kweliWa Diploma hapo huna chako mkuu waache wenye vi degree vyao wakajaribu bahati zao.
Omba pass mkuu urudi kitaa ufanye application Aisee jiongeze jakata sio poaHata Mimi Nina swali kama lako kwasababu ni mlengwa na nipo huko na Nina sifa zote
Omba pass mkuu urudi kitaa ufanye application Aisee jiongeze jakata sio poa
Mkuu kunywa maji ya kutoshaKwa hiyo tukishachaguliwa tunajiunga na kazi moja kwa moja au tunapitia depo kwanza
Acha tu wanaonekana wamekosa ajira ndio wakakimbilia huko kumbe wala, wameamua kujipendekeza tu...Hii issue inawaumiza sana walio makambin Kutwa kukoma na kaz za watu mwisho cku ndo hivyo hili suala wa litazame kwa upana wake kwa kweli kuna ma IT,engineers jkt ,wahasibu ,ma doctors wamejaa kwa nn nao wasipewe nafasi
Wanaumiza zaidi waliojenga ukutaAcha tu wanaonekana wamekosa ajira ndio wakakimbilia huko kumbe wala, wameamua kujipendekeza tu...