We jamaa umetumwa nn?tatizo sio kufanana mshahara na diploma tatizo mda aliotumia kuipata hiyo degree na fedha za ada alizotumia huku akiwa na matumain ya kupandisha mshahara wake ila matokeo yake imekua kinyume na matarajio yake ndo mana watu wanacomplain...kwa maana nyingine haina maana ya...
Jaman muwe na subira mwez wa pili ndo huu kila kitu kitakua sawa ...mimi nipo hapa dodoma pia ni muhanga wa hiyo kitu mr.chugara(anaehusika na kuamisha watumishi tamisemi) kanihakikishia mwez huu tutahama na kupandishwa madaraja yetu yaliyosimama tangu mwaka jna
Una uakika gan kua aliemuumba still anamwangalia...afu mwingine aliumbwa vizr tu but anajimoderate ndo humtokea vya kumtokea apo huwez mlaumu muumba baba alie mbinguni
Mi napata ukakasi kukubaliana na wewe kua eti ni asili yao na wakulaumia kwa ili ni mungu aliewaumba ivyo na sio wao.....basi kama ni ivyo wangekua wote ila mbona wengine wako nomal hawana tabia kama iyo, acha kumcngizia mungu bhana mc Tilly chizenga hiyo ni hurka ya mty mwenyewe
Kwa utafiti mwingi nilioufanya japo sina data za kupresent hapa lakini kuna haka katabia cha wanawake wengi walioolewa kutowapenda ndugu wa mwanaume hasa linapokuja suala la kuwasaidia kifedha na hata kimawazo.
Hua wanaonyesha waziwazi kuchukizwa endapo mwanaume ataamua kuwasaidia ila ikitokea...
Naunga mkono asilimia mia hawa wenye tukazi mjin vibur na kujifanya wao wanaweza kuendesha maisha bila mwanaume kumbe hawajui familia bila baba is like house without pillar mwisho wa siku itaanguka tu
Iz perfume ni kwel zina harufu nzur na mtu hua anajikuta anakupenda na ataki kubanduka ulipo...kipindi zinaingia nchini zilikua so expensive cjajua now
Ucjal mwalimu ajira mwez wa pil zinatoka ila kwa wale waliohakikiwa vyeti vyao na huakiki mwingine utafwata mwez wa sita na ajira mwez wa saba shule zitakapofunguliwa...nawasilisha wapendwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.