Huyu kaka hataki tuachane, nifanyaje?

Huyu kaka hataki tuachane, nifanyaje?

Mnyime papuchi tu mwenyewe atasalenda..maana wanaume wengi bila papuchi hamna mahusiano
 
My dear @eslyjonathan mwanaume hakomolewi!

Cha kufanya mfanye your rebound guy!

Ye si hataki kutoka wewe mpotezee muache akituma sms akipiga usipokee mtafute kwa time zzako wewe!

Move on na mtu mwengine kabisaaa, ila ukiskia nyege mtafute mpe papuchi mkimbiieee

Iyo inaitwa Team Bubaa!
 
My dear @eslyjonathan mwanaume hakomolewi!

Cha kufanya mfanye your rebound guy!

Ye si hataki kutoka wewe mpotezee muache akituma sms akipiga usipokee mtafute kwa time zzako wewe!

Move on na mtu mwengine kabisaaa, ila ukiskia nyege mtafute mpe papuchi mkimbiieee

Iyo inaitwa Team Bubaa!
Naweza kuja pm kuomba papuchi ya rebound?!
 
Hapo ndo ninapojikuta nawaonea wanaume huruma, kwa kweli mnaoa mpaka mwisho
 
ni ujana tu, ukiisha mtaacha!
dada nakusihi olewa, kama bwana anakupenda kila kitu anatimiza kasoro uchepukaji ,olewa tu( kwa ushauri wangu)

kila mwanamme anachepuka, na huyo kaka kaona unamfaa zaidi ndio maana anachepuka lakini kuoa anakuoa wewe!
unaweza kuipiga teke hio ndoa usiolewe kamwe!
mimi binafsi mwanaume ntamuacha kwa ajili ya sababu zangu za msingi ila bwana ananioa nimwache kisa mipango ya kando!! watangoja sana!!!!

olewa mama, kajenge familia kuruka ruka sio ujanja!
ila mpime afya na umkanye mumeo apunguze michepuko/ aambie michepuko yake ameoa wasipige cm akiwa home, mkabidhi na box la condom ikibidi!!!
asilete ukimwi nyumbani.

akikujali/akikuthamini/akikupenda/tabia zake zinakuridhisha kasoro uchepukaji!!!! kanyaga twende!! hakuna mwanaume bikira yusuph
 
Ulifanya vibaya kuchepuka na kutoa taarifa. Hata kama umemchoka si kwa kiwango hicho. Toa taarifa kwa mshenga.

Note;hata siku moja usijaribu kulipiza kwa kile mpenzi alichofanya. Utajuta uwenda ndo siku ukapata ukimwi come on gal!

Sikulazimishi akuoe ila mtumie sms 'am sorry' then endelea na maisha yako. Why? May be ndo mmeo mtarajiwa?

Usisahau kuwa, mwanaume anaweza awe na wanawake mia wa kummaliza nyege ila hao wote hana wa kuweka ndani. So jiulize why anataka kukutolea wewe mahali? Je wewe umekamilika huna vimbwanga vyako ? Vip akipekuwa simu yako? Take yo time think twice dia.
 
Kama alivyopata kusema Yesu, asiyekuwa na dhambi awe wa kwanza kumrushia jiwe, sasa wewe mleta maada ni malaya na mgawaji mzuri inakuwaje unamlaumu mwenzio? Si bora huyo mwanaume anaonesha kukupenda kuliko kuangukia kwa janaume lisilokupenda na bado unasalitiwa.
 
umeshaonyesha dalili zote za kumchoka hadi kufikia kusema hata akikuowa hutamzalia mtoto? madam sitisha mawasiliano naye usijekujiangiza kwenye karaha badala ya raha
 
Niko kwenye mahusiano ambayo kiukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi.

Isitoshe siku ya J2 ya wiki hii anakuja kutoa mahari na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane hataki.

Nifanye nini ili tuachane na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni.

Nilimpa taarifa kuwa naenda kulala na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo.

Naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana naye ila yeye hataki tuachane, nimfanyie kitu gani kitakachomuumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake.
Mpaka kufikia hatua hiyo ya uchumba ina maana wazazi wa pande mbili zote wanayo taarifa ya mahusiano yenu. Inakuwaje kuja kuomba ushauri mtandaoni badala ya kuwashirikisha wao maana huko ndo ingekuwa sehemu muafaka. hayo ni maoni yangu tu mkuu.
 
mjambie..... kahaba wewe.....unaishi ukihisi hisi tuuu.....unafikir utampata asiyechepuka na hiyo tabia yako......eti simzaliii,,,, muombe Mungu na uifute hiyo kauli......
 
Back
Top Bottom