Recent content by ProudMama

  1. P

    Nilimbikiri na alinizalia mtoto lakini sitamuoa katu

    Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake
  2. P

    Baadhi ya wadada wanapenda kuangalia dereva wanaepishana nae

    Hahahahaaa!!!wala hujakosea kabisaa!!! I am guilty as charged aiseee!!!!sijui ni kwa nini ila its like i need to see who is passing me and what doea he/she look like....hahahahaaaa!!!we will make good detectives aiseeee
  3. P

    Mwandishi wa MWANANCHI atimuliwa kampeni za John Magufuli

    Mwanzo nilikuwa sijakuelewa ila sasa,namshukuru Mungu nimekuelewa
  4. P

    Taswira ya TWAWEZA na UWEZO Kenya, Uganda na Tanzania inaenda kuingia doa na dosari kubwa

    Think about it kaka... to me this is a blessing in disguise....haya matokeo yasaidie kuwafanya ukawa wajipange zaidi katika round zilizobaki za mpambano....i am not discouraged at all,in fact am happy with this results....
  5. P

    Hivi wakisema kila mtu afanye harusi yake sehemu aliyokutana na mpenzi wake, yako ingefanyika wapi?

    Uchochoro mmoja hivi amazing,kabla ya hapo tulikutana kwa daladala tukajikuta tumeshuka kituo kimoja,tukavuka barabara kwa kuongozana kwenda kupanda daladala nyingine,tunashuka tena kituo kimoja na kuongozana through that uchochoro,kuja kugundua baadaye kumbe ni jirani yangu....
  6. P

    Mahubiri ya Mwalimu Mwakasege - UDSM

    Ambacho nakishuhudia kwa waamini wengi hivi sasa ni kuwa wanasahau kuwa unapoomba inabidi uwe tayari pia kusikiliza sauti ya Mungu.....usiwe na majibu yako kichwani....Mungu anapokupa jibu lazima uwe tayari kusikiliza na pia uwe tayari kufanyia kazi!!!haijalishi mazingira yanakuonyesha nini kama...
  7. P

    Slaa amwangukia Mchungaji Gwajima

    Na ndio maana Neno likasema ameelaaniwa amtegemeaye binadamu
  8. P

    Jipatie vitabu vya Joram Kiango

    Nipo Arusha navipateje?
  9. P

    Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

    😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
  10. P

    Amekataa kunirudishia pesa niliyoituma kimakosa, kisa nilimjibu jeuri

    Hahahahaaaa!!!kitu cha kusikitisha ila nimejikuta nacheka...pole ndugu
  11. P

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Hajaomba radhi khaaa!!!wewe nawe mshadidiajiiii😏
Back
Top Bottom