ile "HABARI KUBWA"ya chato kuhusu yule mgombea haikuandikwa???
ile habari ya katavi kuhutubia watu hamsini nayo haikuandikwa
Wewe jamaa uwa muongo sana sijui unapata faida gani kudanganya.
Wanataka aandike uongo?.Anariport alichokiona
Chukuwa time wewe, usinizowee zowee. Hunijui sikujui.
Mwanzo nilikuwa sijakuelewa ila sasa,namshukuru Mungu nimekuelewaNa yule aliyeharibu Nguo Chato unadhani ilikuwa Hekima aandikwe magazetini??? Kila kitu kikiandikwa kuna watu watakimbia.
Queen Esther
Mbona umepaniki sana kibibi kwanini mmefukuza mwandishi wa habari wa gazeti la mwananchi?
Tumemfukuza Lowassa .
Chukuwa time wewe, usinizowee zowee. Hunijui sikujui.
Lowassa ni mafuriko siku zote.Demu mmbea wewe!Asiraji Mvungi wa ITV ametimuliwa ukawa baada ya kuonesha moja ya mikutano ya Lowassa ikiwa imehudhuriwa na watu 20 tu.
Mwandishi wa gazeti la MWANANCHI ndugu Peter Elias ametimuliwa kutoka msafara wa kampeni za mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Magufuli, imethibitishwa.
Mwandishi huyo ametimuliwa kwa kosa la kuripoti tukio la mgombea huyo kuzomewa na wafuasi wa Chadema jijini Mbeya hivi karibuni kinyume cha
makubaliano.
Mwandishi huyo aliripoti katika gazeti hilo kwa kichwa cha habari "Magufuli akabiliana na UKAWA Mbeya" na kuweka picha ya mgombea huyo akionyeshwa alama ya vidole viwili.
Ukali Wote Huu, Si Bure Hujalipwa Buku Saba Zako Za Wiki