N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 561
Weka akiba ya maneno FaizaFoxy, kwanini unapenda kwaza wenzio?Hicho siyo kijarida cha Gwajima?
Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?
Haiingii akilini hata chembe.