Recent content by progzo

  1. progzo

    Msaada wadau, TV yangu inawaka ila inatoa mwanga hafifu sana

    Tatizo kma lako limeikuta tv yangu wiki moja iliyo pita apo issue ni taa zimeungua fanya kupeleka kwa fundi itapona angalizo asiwe fundi wa vichochoroni utaipoteza tv yako.
  2. progzo

    Ona jinsi watanzania tunavyopigwa bei kubwa bora ununue mtandaoni tu!!

    Uyo kajisahaulisha panga la TRA utaiacha gari yako bandarini bure
  3. progzo

    Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

    We una badilisha samsung na vi2 vya ajabu
  4. progzo

    Nitamshangaa mwanamke atakayeenda kujidhalilisha mbele ya RC Makonda

    Washa jaa mkuu uzi unge andaa mapema sema kma umearibu jaribu kuwasiliana nae mapema[emoji16]
  5. progzo

    Msaada: Kuflash smartphone ambayo imejilock pin

    Leta ni kusaidie mara moja
  6. progzo

    Kutoka Kisutu: Mbowe na viongozi wengine sita wa CHADEMA Wapata dhamana

    Acha kupotosha gari la jeshi halikamatwi!
  7. progzo

    Nauza flat screen, fridge na microwave.

    Mbona umeumekuja na bei zako za mlimani city!
  8. progzo

    JWTZ isikubali kutumiwa namna hii, itoe tamko

    Tatizo wengi wana mwamini yule dada wa ng'ambo kwa kila kitu Watanzania aliye2loga sijui kafia wapi!
  9. progzo

    Mshahara umetoka?(23/03/2018

    Angalia account yako
  10. progzo

    Ushauri: Nikipiga goli moja uume unachelewa kusimama

    Apa cha kwanza ondoa kabisa msongo wa mawazo kichwani jiamini kula vizuri pata maji ya kutosha fanya mazoezi kiasi pata mda wa kumzika nakuhakikishia utapiga mechi kali mno ata bao 5.
  11. progzo

    Nikitaka kununua tv flat screen, ni brand ipi bora kwa sasa?

    Nunu brum ni android huto juta
Back
Top Bottom