mkuu nakubaliana na wewe, mimi pia sio wa dsm lkn baadhi ya watu wa mikoani wakija dar hasa ambao hawajitambua wanaiga vitu mpaka kuwapita wadaslam wenyewe na ndio kama ivi sasa unaenda kijijini tena msibani umevaa tight na mtandio mwepesi ili iweje , mambo ya dar ambayo hayafai kijijini yaishie dar, apa mjini watu wapo busy na mambo yao hakuna wakumind hata ukivaa upuuzi wako. lkn kijijini mambo sio km dar kwanini uwakwaze wazee wa watu? fanya mambo/pangilia mavazi yako kulingana na mazingira.Wewe ujue kutofautisha watu wa dar na watu wa mikoani waliohamia dar!!.. nyinyi mliokuja dar ndio tatizo mnaiga kila kitu hadi ushoga!!.. huo msiba wenu ulijaa machalii wa kaskazini wamejiremba na kujipamba halafu unawaita wa dar!!.. miyeyusho sana nyinyi wakuja
Kwanza kwenye misiba nyapu ndio huwa zinaliwa sasaEti wanaume wanageuzia macho kwao 'kimasikitiko', hakuna masikitiko hapo mkuu waligeuzia macho kwao kwa matamanio tu hao
Utandawazi ni kwa wanawake tu??Utandawazi umetuteka sana
Ni kweli kabisa mkuu, misibani siku hizi kumekua meeting places au rendezvousKwanza kwenye misiba nyapu ndio huwa zinaliwa sasa