Ibrahim augustine
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 428
- 575
Leo katika pitapita zangu nikaona sio mbaya nitembelee website ya beforward inayo uza magari ya kijapani mapya mtandaoni.
Eeebwana we!! Si nikaona gari inauzwa $873 aina ya Toyota ist sawa na 1744000 yaani milioni moja na laki saba na ushee.
Duuh hii sibei ya pikipiki jamani.
Basi nikatuma ujumbe wa kutaka kuinunua nikapewa na invoice ya manunuzi cheki hapo
Aisee lakini tukirudi hapa bongo hii gari unapigwa milioni 10-15 mtanisaidia mnaojua magari lakini hii screen shot ni invoice ambayo inaonesha bei ya kusafirisha mzigo yaani shipping ndio maana bei mnaona imeongezeka kidogo.
Duuh bado sikuridhika nikaingia eBay nikaona simu Kali balaa aina ya iPhone 7
View attachment 740367
Bei yake ni ndogo sana ukilinganisha na hapa bongo eti milion1
Halafu eBay inauzwa dolaa 300 sawa na kama laki 6 na usheee!!
Aisee juzi mzee wangu alinunua Samsung galaxy J7 pro imetoka 2017 kwa bei poa kabisa lakini ukiulizia hapa bongo utalazwa
Simu mzee aliyo nunua
Ndugu zangu nawashauri mnunue mtandaoni hapa bongo tunapigwa bei zaajabu ndio maana tunalalamika vyuma kumbe ni wafanyabiashara wanaotaka kujiongezea cha juu japo sikatai ukinunua mtandaoni kuna hasara zake kama kuibiwa ikiwa bandarini tena hapa bongo sijuii baadhi ya wabongo tupoje MTU unaweza kuagiza gari mpya ikigika unakuta TV.
Huo ndo ushauri wa leo asanteni
Eeebwana we!! Si nikaona gari inauzwa $873 aina ya Toyota ist sawa na 1744000 yaani milioni moja na laki saba na ushee.
Duuh hii sibei ya pikipiki jamani.
Basi nikatuma ujumbe wa kutaka kuinunua nikapewa na invoice ya manunuzi cheki hapo
Aisee lakini tukirudi hapa bongo hii gari unapigwa milioni 10-15 mtanisaidia mnaojua magari lakini hii screen shot ni invoice ambayo inaonesha bei ya kusafirisha mzigo yaani shipping ndio maana bei mnaona imeongezeka kidogo.
Duuh bado sikuridhika nikaingia eBay nikaona simu Kali balaa aina ya iPhone 7
View attachment 740367
Bei yake ni ndogo sana ukilinganisha na hapa bongo eti milion1
Halafu eBay inauzwa dolaa 300 sawa na kama laki 6 na usheee!!
Aisee juzi mzee wangu alinunua Samsung galaxy J7 pro imetoka 2017 kwa bei poa kabisa lakini ukiulizia hapa bongo utalazwa
Simu mzee aliyo nunua
Ndugu zangu nawashauri mnunue mtandaoni hapa bongo tunapigwa bei zaajabu ndio maana tunalalamika vyuma kumbe ni wafanyabiashara wanaotaka kujiongezea cha juu japo sikatai ukinunua mtandaoni kuna hasara zake kama kuibiwa ikiwa bandarini tena hapa bongo sijuii baadhi ya wabongo tupoje MTU unaweza kuagiza gari mpya ikigika unakuta TV.
Huo ndo ushauri wa leo asanteni