Recent content by PROFESA NDOTO

  1. P

    Dada wa kazi anapaswa kulipwa mshahara kiasi gani kwa mwezi?

    Bdo unamgonga huyo beki tatu!?huruma ya kwanza itoke kwako kwa kuacha kumchezea huku huna malengo naye.ukimtia miamba huyo bint na shida alizonazo utakuwa umempa tatizo lingne.so before hujaja hapa again acha kumgonga .
  2. P

    Wale wahamasishaji wa Forex kupitia Twitter wameshaunguza account ya mtu huko

    Naona wadau mmeamua kushuka jumla jumla na mwenye mpesa yake
  3. P

    Kwenu wanawake mnaojifanya ma-FBI

    Unakagua smu ya mumeo ghafla unakuta sms za kujibebisha kwa mwanaume mwenzake, yani aka sms za jins alivyosodomoliwa jana ili apate stimu za kukula wewe na wakat unapekuwa tayari kashakukula amechoka kalala fofofo
  4. P

    Michezo ya hatari: Ushawahi kuingiza mwanamke / kulala naye nyumbani kwa baba yako? Ilikuwaje?

    Mbona juzi tu hapa kuamkia jana.nimempitisha demu mbele yao.nikapga show fresh na akatoka kimya kimya
  5. P

    Msaada: Tatizo la computer kula MB sana

    Kuna app zinarun background so restor laptop yako kama huzijui au gugu jinsi ya kuzifunga
  6. P

    Ndege ya ATCL number TC 106 Bomberdier, tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa

    ndugu wacha kudanganya .sasa huyo jpm angekufanya nini endapo ungeandika huo uzi wako hapa?
Back
Top Bottom