OkayJamani hawa watu kila siku wanajifanya wanajua trade za forex na kujifanya ndio wanafahamu zaidi.
Mwengine huyu hapa na tunasubiria kusikia nani kamfanya kuunguza accountView attachment 2188322
Hivi salio la Mpesa mwisho kabisa kuwa kwenye account ni kiasi gani?Kaunguza ye mwenyewe aliemtuma afungue possition zote nani na hadi loss inafika uko hafungi tuu soko la babu yake hili
View attachment 2188335
Mi sijuagi ila hadi ml 100 inakaa ni kama unawekeza tu so hamna kipimo maana zinazokaa ni namba tuHivi salio la Mpesa mwisho kabisa kuwa kwenye account ni kiasi gani?
Hata trilion zinaingiaMi sijuagi ila hadi ml 100 inakaa ni kama unawekeza tu so hamna kipimo maana zinazokaa ni namba tu
Namtafuta expert wa forex anifanyie mentoringJamani hawa watu kila siku wanajifanya wanajua trade za forex na kujifanya ndio wanafahamu zaidi.
Mwengine huyu hapa na tunasubiria kusikia nani kamfanya kuunguza accountView attachment 2188322
Hadi nimeshajua weakness yake iko wapi. Na atazidi kupoteza. Wakuu hii kitu ni taaluma Kama taaluma zingine. Sio kuwa unakomaa na PDF baadaye eti umekuwa surgeon unaanza kupasua watu lazima watakufa Sana ndio hii akaunti inakufaJamani hawa watu kila siku wanajifanya wanajua trade za forex na kujifanya ndio wanafahamu zaidi.
Mwengine huyu hapa na tunasubiria kusikia nani kamfanya kuunguza accountView attachment 2188322
Mpesa Haina kujibu sms a sender doesn't support a replyHivi salio la Mpesa mwisho kabisa kuwa kwenye account ni kiasi gani?
Duuuh! Kwanza imeandikwa salio lako ni mpesa badala sakio lako la mpesa.Hivi salio la Mpesa mwisho kabisa kuwa kwenye account ni kiasi gani?
Fake Mpesa Balance,Kaunguza ye mwenyewe aliemtuma afungue possition zote nani na hadi loss inafika uko hafungi tuu soko la babu yake hili
View attachment 2188335
Ama nakosea wakuuMpesa Haina kujibu sms a sender doesn't support a reply
Fake,Mpesa balanceKaunguza ye mwenyewe aliemtuma afungue possition zote nani na hadi loss inafika uko hafungi tuu soko la babu yake hili
View attachment 2188335
Kwahiyo hadi battery ya simu imeingua? Au nimeangalia vibaya hapo?Jamani hawa watu kila siku wanajifanya wanajua trade za forex na kujifanya ndio wanafahamu zaidi.
Mwengine huyu hapa na tunasubiria kusikia nani kamfanya kuunguza accountView attachment 2188322
Nilipoona saa 5:9 nikastukaHivi salio la Mpesa mwisho kabisa kuwa kwenye account ni kiasi gani?
Mbona serikali iliongeza hadi inafikia 15mil na kutoa waweza toa hadi 5mil kwa sikuFake Mpesa Balance,
Why you lie?