Natafuta mwanamke aliyetayali kuolewa na awe na vigezo vifuatavyo: 1.Elimu kidato cha nne na kuendelea,2.Mwenye hofu ya Mungu,3.Umri miaka 25-30,4.awe ameajiliwa au mjasiliamali shwari tu, 5.Rangi maji ya kunde,6.Awe na dhamila ya dhati katika mapenzi na ndoa. Mimi sifa zangu ni kama ifuatavyo...