Zitoooo!!!!!!!1
Jibu basi na hoja zile za kupiga lile dili na yule mama wa kijerumani?! Zitoo nakukubali kwa kujitetea huku ukiwa umepiga. Watanzania wasiofuatilia mambo yako watakukubali sana Zitto, lakini kwa sisi tunaokufuatilia hutudanganyi. Kwa mfano sasa hivi unatafuta namna ya kusafisha...
mbashaeeeeeee -sikiliza bwana!
Mtafute Mrs Gwajima umweleze maombi yale aliyoombwa flora na akiimba na kucheza na wewe basi mchukue flora mkeo umlete nyumbani kwa kuwa maombi yamekuwa pande zote. ikiwa wa kwako bwana atambariki mapema ni afadhali maana atakayebarikiwa baadaye atakuwa anatia...
Maombezi yamefikia mahali pake. Maombi yakafanyika kuombea watu wengine na mwingine naye akamuomba mwingine na mwingine akaimba na kucheza hadi mwingine akaona utukufu wa mwingine na mwingine akalala wakaendelea kuimba hata aliyekuwa anaimba kwa kucheza akapata alichokuwa anaomba. Umesema...
Serikali imetakiwa kutoa maelezo bungeni, kuhusu sababu za kuuawa kwa waasisi sita wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wanaodaiwa kuzikwa katika handaki moja Zanzibar.
Akiwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Rais...
Ni maadui kwa sababu wanapata vikura na kukupa changamoto. mbona mwaka 2005 cuf ndio walikuwa maadui? hivi CUFI hawapoeeeeee? Inaelekea uwezo wako una matata. :flypig:
TAHADHARI MAKAMANDA WA ARUSHA TAFADHALI ZINGATIA SANA HILI: siku za mwisho za kampeni wana sendoff watawaletea zengwe. Cha kufanya muwe makini na mazengwe na ikiwezekana chapa mtu vibaya hadi ajinyee. wakati mwingine sheria itafuata mkondo wake. kumbuka Kamanda Mbowe alimzibua Mkurugenzi makofi...
Kwa ufupi Zanzibar inahitaji kujitawala. Hakuna anayefahamu maslahi ya wazanzibari zaidi ya wao wenyewe. Na haiwezekani viongozi wa Tanganyika wakawafahamu wazanzibari kwa kuwa kuna wengi wao hawajawahi kufika chumbe. Wapo pia wazanzibari ambao hawajawahi kufika kizimkazi wakaona mataa ya dar es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.