Hakuna anachojua naye huyu babu chadema itafika mbali wapi zaidi ya arusha na moshi anatia aibu kuongea uongo kama zuzu.
Ajitengaye na wengi anatafuta matakwa yake mwenyewe,chadema iko mkoa wa geita,simiyu,mwanza mara,kagera,singida,morogoro,iringa,njombe,songea,mbeya,katavi,kigoma,unguja,Tanga,Dar es salaam,pwani,Tabora,manyara na kwingineko ,au mlipoona upepo umegeuka Mtwara na Lindi mkapiga marufuku,ndio unajifariji?
Ngoja uchaguzi wa mtaa utaijua chadema je,iko Arusha na moshi?