ZAINAB ASHRAFF M
Member
- Oct 22, 2013
- 41
- 11
Kikwete amewaharibu misukule ya magamba na siasa za udini na ukabila...chadema hatuna udini...bakini na udini huko kwenu magamba.
Watafute jengine sasa maana njia yao kuu ya kutu divide ili washinde kwa kukomalia propaganda ya UDINI. moja ya faida za UKAWA umetusaidia kupunguza hisia za UDINI zinazopandikwizwa na Misukule ya MAGAMBA kati ya CHADEMA na CUF na UKAWA walipotoa TAMKO la kuendelea mpaka UCHAGUZI MKUU,,, Maintarahamwe yanaumia na kuweweseka kila uchwao.