Nahitaji maombi yenu ndugu zangu wanaJF kwa ajili ya baba yangu mdogo.Alikuwa anampeleka babu yangu hospitali leo mchana bahati mbaya wakiwa njiani wakagongwa na gari, babu amekufa pale pale ila baba mdogo hali ni mbaya amekimbizwa katika ya wilaya Huruma huku Rombo. Tafadhali.
mimi huwa nachoga sana nikiangaliaga haya mafuvu na mifupa ya watu iliyowekwa huku kwnye masale baada ya kufukuliwa kweli kna mila nyngne daah bas tu hatunajins tumezikuta inabid tuziache zilivyo.
Nawashukuru sana gfsonwin, len wilguy pamoja na wna jf wote mliotumia muda wenu kunipa ushauri ahsanten mungu azdi kuwazidishia hekima. Japo wengine wanafanya utani. Jaman ckupenda kufanya tabia hzi lakin nilijikuta katika maisha haya ambayo mwanzon niliona ni sawa na niliyafurahia lakin sasa...
hapa ndipo ninapowashangaa hasa wasichana wengne akil zao kwanini ukubali kufanywa ovyo mpaka unatiwa mimba? Kwani bila kuwa na mwanaume itakuwaje? Ona sasa unavuna matunda ya uzinz..
Nimekuwa nafanya mapenz na wanawake wenzanga huu ni mwaka wa nne mwanzon niliona ni sawa ila sasa naichukia najitahid kuacha lakn nimeshindwa imefikia hatua nataman hata kufanya na dada yangu wa kuzaliwa naye. Kila nikiona wanawake wenzngu nataman kufanya nao. Sitaman mwanaume kabisa naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.